Mwigulu katika kashfa nzito: Atuhumiwa kutumiwa na mkewe kwa maslahi binafsi

Mwigulu katika kashfa nzito: Atuhumiwa kutumiwa na mkewe kwa maslahi binafsi

Hili lichama limejaa watu wa ajabu mno..

Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.

Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.

CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Ni kweli ila Chadema nayo is no better tena naweza kusema wao watakuwa balaa zaidi kutokana na kuwa na hasira ya kulipiza kisasi.
 
Na hapa ndipo unapokuja ku-judge umakini wa SSH kama kweli ana tofauti yoyote na waliomtangulia hata kama siku chache za mwanzo alitaka kujionesha yupo tofauti na Magu! Hivi mtu wa hovyo kama Mwigulu unampa vipi ofisi nyeti kama MoF?

Uzuri wa CCM mambo kama hayo yanakubalika!! Hivi sakata la Mhando wa TANESCO kutoe tenda kwa mke wake bila kujali suala la mgongano wa maslahi liliishia wapi?!
Though ukiwa ccm upo juu ya Sheria walioifirisi nssf kina dau mbona wanadunda.Anayeshughulikiwa kufungwa na kufukuzwa Kazi ni watumishi wadogo wadogo waliopokea elf 5 au 10 .Majizi makubwa ya ccm huwa yanahamishwa tu wizara.
 
Kwani walikua hawajui kama jamaa ni jizi , kampuni ya mabasi anadai ni ya mkewe kumbe ni yeye na amepora vituo vingi sana vya mafuta kwa kigezo cha kodi kumbe ni janja ili aendeshe yeye, kiufupi jamaa ni crap kama wenzie tu, ndiomaana jana watu walisema kama wachumi wenyewe ndio hawa kamwe tusitegemee lolote la maana kwenye nchi hii, nchi ya majizi manafiki na maongo
 
Hao ndio mafisadi wa CCM. Wako kwenye uongozi kwa ajili ya kujinufaisha. Kwenye bajeti hii wameamua kukarabati viwanja vyao vya mpira wanavyovimiliki ndio maana wakafuta kodi ya nyasi bandia.

Rais HAWEZI MFANYA CHOCHOTE MWIGULU.

Nawaza kwanini Raisi hafanyi lolote juu ya Mwigulu
Mama nyoka unae mfuga ipo siku atakumeza.....
Ni kweli wanawake hatuwezi,am so dissapointed
 
Hili lichama limejaa watu wa ajabu mno.

Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.

Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.

CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Star TV wapo na Mzee Saidi katika Mada ya Utekelezaji wa maendeleo ya Wananchi.Huyo Mwigulu ni Opportunistic na hajapita katika Tanuru la Uongozi.Uzalendo ni kujitanda Bendera ya Taifa?
 
Hivi ni kingozi gani atakayekaa sekta nyeti kama ya Waziri wa Fedha na kutengeneza sera zinazohitaji maamuzi magumu halafu asitafutiwe zengwe?

Hizi kelele za Mwigulu atumbuliwe ni wivu tu usio na msingi kutoka kwa haters. Kazi kwa mama ni je ataweza kuread through the mind of haters na wanachokitaka? Hao hao wanaomtaka Mwigulu atumbuliwe ndio hao hao wanaomwambia mama ni dikteta kuliko mtangulizi wake.
 
Back
Top Bottom