kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He is Guilty until proven Innocent.He is innocent unless it’s proved.
Suicide mission!
Dya think ana usmart angalau kwa kiasi hicho?Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
Na lile bichwa limesha pasukaYatima sio Nyie Baba yenu Jiwe aliyekufa kwa covid?
Labda huo uwaziri kapata kwingine.Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
Chunguza kwanza hizo tuhusu za uliowataja je ni tuhuma gan? Na je zilikua na ukwel wowote?Utawala wa JK kila uzushi alitupiwa Ridhiwani, utawala wa Magu alikuwa Makonda, naona utawala wa Samia ni Mwigulu, waTZ tuna shida san
Na hilo nimehoji sana zile zama tulizokuwa tunaambiwa taifa linapambana na ufisadi!! Mara kwa mara nilitoa changamoto hapa nitajiwe mtu mmoja TU ambae ni high profile politician or top government executive aliyewahi kufanywa chochote kwa tuhuma za ufisadi!Though ukiwa ccm upo juu ya Sheria walioifirisi nssf kina dau mbona wanadunda.Anayeshughulikiwa kufungwa na kufukuzwa Kazi ni watumishi wadogo wadogo waliopokea elf 5 au 10 .Majizi makubwa ya ccm huwa yanahamishwa tu wizara.
Vita ya ufisadi ilikuwa ni hadaa na fimbo ya kuwachapia wasiotaka kuisujudia Sanamu.Thus Hakuna swahiba yeyeto aliyekutwa na ushahidi wa ngozi amewahi shughulikiwa.Na hilo nimehoji sana zile zama tulizokuwa tunaambiwa taifa linapambana na ufisadi!! Mara kwa mara nilitoa changamoto hapa nitajiwe mtu mmoja TU ambae ni high profile politician or top government executive aliyewahi kufanywa chochote kwa tuhuma za ufisadi!
Hadi sasa sijatajiwa hata mmoja as if mafisadi wa nchi hii ni watumishi wa umma wa ngazi za kati!
Ajabu, kuna watu wakadanganyika na hadaa ile! Tena wengine unakuta ni watu wasomi kabisa!!!Vita ya ufisadi ilikuwa ni hadaa na fimbo ya kuwachapia wasiotaka kuisujudia Sanamu.Thus Hakuna swahiba yeyeto aliyekutwa na ushahidi wa ngozi amewahi shughulikiwa.
Wapinzani wangekuwa ndio mafisadi wote wangeozea jela
Kodi ya "solidarity" itafidia hilo pengo so sio issue "kihivyo"
Ni kweli gaidi maana kamlipua mama yako!Mbowe Ni gaidi ,mjiandae kisaikorojia ninyi yatima watarajiwa
Bora kuliwa na kunguni kuliko kuliwa na funzaMbowe analiwa na kunguni muda huu
USSR
Ni zengwe hilo linaratibiwa na mfumo.Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
Muhimu ni kufahamu sababu ya kupunguza kodi za michezo ya kubahatisha ni nini? Iwe ni gazeti la hovyo au hata ukuta wa choo cha umma, tunachotaka ni sababu ya kodi mpya ni nini?Hili gazeti la kufungia mihogo ndio liliandika ole sabaya ni billionea , wapuuzi sana linatumiwa na mbowe na genge lake
USSR
Siyo zengwe, mtu mwenyewe ni zengwe la kishamba.Ni zengwe hilo linaratibiwa na mfumo.