MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Chama cha majambazi hicho Mkuu...Hili lichama limejaa watu wa hovyo mno.
Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.
CCM ni laana kwa hii nchi.
Majambazi yote ya Tanzania yapo ccm