Mwigulu,KIgwangalla,Gulamali na Diwani wa kata ya Shimbo Wanamuunga MKono Magufuli kwa Push Up

Mwigulu,KIgwangalla,Gulamali na Diwani wa kata ya Shimbo Wanamuunga MKono Magufuli kwa Push Up

Ikulu ya babaako ndio hakuna gym bali hospitali.

siku hizi hakuna kazi tena ila pushapu tu.
Nasikia eti mmebadirisha kaulu mbiu, sasa hv mnasema hapa pushapu tu, kazi kwenu.
 
Mwenzako Ilala, Katibu wa CCM, alimbashiria Lowassa kifo akiwa Ikulu..

Kafe yeye sasa... kafa kama panya...miguu juu..!!! na mkojoo juu..!!!

Zamu yako yaja, ukidhania kusingizia watu UGONJWA ni sifa...!!

Wewe kama HUJAFA siku 7 zijazo... ni pm...!!! Siku 7 tokea muda huu, UTAKUFA.. kibudu...!!! ukiwa unakunywa maji...!!! huku umekaa ktk kiti...!!! Na UMEFANYA KUFURU KUBWA..!! Baada ya wiki jibu huku kama utaweza, KICHWA kitakuuma ghafla, na kutoweka.. shit..!!!

Mungu usimletee masihara... subiria yako...!!


Hahahaaaa humjui anayepakuliwa? Ni yule anayeshindwa kuzuia kinyesi kisitoke mpaka anaenda kubadilisha nguo ndio aendelee kuhutubia,huyo hatufai banaa,akiwa kwenye mkutano UN atatuaibisha. Kura zetu zoooooooote kwa mtu aliye fit,kama hamjui Ikulu kuna GYM ulizeni msiropke ila hakuna wodi ya wagonjwa pale. Peleka Muhimbili akachekiwe tundu lina athari gani
 
Wamebakiza kitu kimoja tu!!

Raia tuwashinikize tuwashike ma.ta.ko hadharani maana ndo fani wanayoiweza si unaona viuno vilivyojuu?
 
Wagonjwa wako wanaletwa kutoka lndia na wengine kata ya ilala wamekufa,huoni kwamba wagonjwa wako ccm
 
wasijinyee tuu. hafu huyo mugulu amepiga 1.7 billion za makufuli
 
Push up gani hata ngumi hawajakunja???
 
Mwigulu akipiga ni sawa, si kuna zile hela za kampeni alizotumia bila mahesabu..!!
 
12047141_429451910590376_8969802085456891_n.jpg
Mwigulu,KIgwangalla,Gulamali na Diwani wa kata ya Shimbo wakionesha Uimara wao wa kiafya "Wanamuunga MKono Magufuli kwa Push Up"

namnukuu Kova aliwahi kusema hawa watu huwa wanaigana, walikuwa wapi kupiga push ups mpaka apige magufuli, watu kutetea ulaji bana, haya, pigeni na gema
 
12047141_429451910590376_8969802085456891_n.jpg
Mwigulu,KIgwangalla,Gulamali na Diwani wa kata ya Shimbo wakionesha Uimara wao wa kiafya "Wanamuunga MKono Magufuli kwa Push Up"

Wananchi wanasubiri majibu ya kero zao za i.Maji safi ii.Mgao wa umeme iii.Umaskini wa kipato iv.Huduma mbovu za afya v.Barabara chini ya kiwango vi.Madawa ya kulevya vii.Bei ndogo za mazao,kukosekana kwa masoko na kosefu wa pembejeo kwa wakulima viii.Ajira za upendeleo ix.Rushwa x.Uongozi mbovu n.k;WAO WANAPIGA PUSS UPS!!KATAA DIKTETA,KATAA CCM!!LOWASSA TOSHA!!
 
push up zimekuwa sera ati...mhh,mbayazaidi kuna watu wanashangilia...
 
Wananchi wanasubiri majibu ya kero zao za i.Maji safi ii.Mgao wa umeme iii.Umaskini wa kipato iv.Huduma mbovu za afya v.Barabara chini ya kiwango vi.Madawa ya kulevya vii.Bei ndogo za mazao,kukosekana kwa masoko na kosefu wa pembejeo kwa wakulima viii.Ajira za upendeleo ix.Rushwa x.Uongozi mbovu n.k;WAO WANAPIGA PUSS UPS!!KATAA DIKTETA,KATAA CCM!!LOWASSA TOSHA!!

Push ups ndiyo majibu yao....wapige push ups tu, maji yatakuja.
 
Back
Top Bottom