Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM imesababisha ukosefu wa ajira kwa vijana,, umasikini ,elimu duni.... CCM lazima iachie madaraka..imewanyonya watanzania vya kutosha..ni wakati wa mabadiliko huu..kura zote kwa lowasa
Tanzania ujinga ujinga mwingi sana. Push ups za nini sasa?
Mwigulu,KIgwangalla,Gulamali na Diwani wa kata ya Shimbo wakionesha Uimara wao wa kiafya "Wanamuunga MKono Magufuli kwa Push Up"
Hahahaaaa humjui anayepakuliwa? Ni yule anayeshindwa kuzuia kinyesi kisitoke mpaka anaenda kubadilisha nguo ndio aendelee kuhutubia,huyo hatufai banaa,akiwa kwenye mkutano UN atatuaibisha. Kura zetu zoooooooote kwa mtu aliye fit,kama hamjui Ikulu kuna GYM ulizeni msiropke ila hakuna wodi ya wagonjwa pale. Peleka Muhimbili akachekiwe tundu lina athari gani
MUSSA ALLAN piga zoezi kwa afya yako
AstaghfirullahIkulu ya babaako ndio hakuna gym bali hospitali.