Mwigulu kujipendekeza to the Maximum, amfate Chalamila

Chawa wa marehemu Jiwe ktk mwendelezo wa sifa akajikuta amepitiliza
 
Pamoja na weye!Easy boss! Kwani hotuba ya Mwigulu tu ndiyo mmekunja mikono ya mashati tupigane?😂😂😂
Kama ni pamoja na mimi, basi kuipenda au kutoipenda hotuba hiyo, kupo mikononi mwangu. Kuwa mkewe aiepende au asiipenda doesn't matter
 
Asingemtaja ingemsaidia zaidi kisiasa kuliko alivyomtaja wewe pimbi! Ngoja utaona utakumbuka maneno yangu!!!
Tuje tukumbuke maneno gani yako we Asha ngedere!!? Wasukuma na uyo dikteta wenu, Bado hamjahamini tu Kama mzee covid19 imelalanae mbele,

Uyo dikteta kaacha legacy ya kuua na kuteka hafai kukumbukwa kbs
 
Tuje tukumbuke maneno gani yako we Asha ngedere!!? Wasukuma na uyo dikteta wenu, Bado hamjahamini tu Kama mzee covid19 imelalanae mbele,

Uyo dikteta kaacha legacy ya kuua na kuteka hafai kukumbukwa kbs
Hawaamini. na Atawatesa sana. Kila aliyeshabikia maovi ya jiwe atalipa
 
Mara paap Mwigulu 2025, ndio atauonyesha rangi zake halisi😆
 
Ataingia18 za maza mtashangaa siku hiyo, maza hana papara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…