Mwigulu kujipendekeza to the Maximum, amfate Chalamila

Mwigulu kujipendekeza to the Maximum, amfate Chalamila

Mwigulu is smart that is the reason he had to invoke Kikwete in his speech as a way of putting his house close to power!!! He is a dangerous dude!!!
Kafikiria 2030 huko
 
Napendekeza kuondoa hii 'bootlicking' behaviour yaani mawaziri wawe waajiriwa na mtu anatuma maombi na kupitia usaili. Maana uwaziri ni utumishi na utenganishwe na ubunge. Na kama sijakosea hii ilikuwemo kwenye mapendekezo ya katiba mpya.

Hivi mtu anaumia akitenguliwa ilhali bado ni Mbunge??? anasema nilikaa bench, hivi hakumbuki anaopaswa kuwatumikia wa kwanza ni wapiga kura waliyomuingiza bungeni? Hii ni akili duni sana na ulafi uliyokithiri.
 
Napendekeza kuondoa hii 'bootlicking' behaviour yaani mawaziri wawe waajiriwa na mtu anatuma maombi na kupitia usaili. Maana uwaziri ni utumishi na utenganishwe na ubunge. Na kama sijakosea hii ilikuwemo kwenye mapendekezo ya katiba mpya.

Hivi mtu anaumia akitenguliwa ilhali bado ni Mbunge??? anasema nilikaa bench, hivi hakumbuki anaopaswa kuwatumikia wa kwanza ni wapiga kura waliyomuingiza bungeni? Hii ni akili duni sana na ulafi uliyokithiri.
Mtu anapokuwa katika ukuaji kiumri na kiakili huwa anajenga matarajio ya mbeleni.Na mtu kusema alichonacho moyoni ni haki yake.Weye mpokeaji ndiyo inategemea unatesekaje.Asingesifu mngesema hana shukrani.Amesema ukweli wa moyo wake kadiri ya fikra zake hamtaki.Mna nini naye bwana Mwigulu?😂😂😂😂
 
Kumbe chalamila katumbuliwa... Ila ilimpasa yule bwana ni mzigo
 
Mtu anapokuwa katika ukuaji kiumri na kiakili huwa anajenga matarajio ya mbeleni.Na mtu kusema alichonacho moyoni ni haki yake.Weye mpokeaji ndiyo inategemea unatesekaje.Asingesifu mngesema hana shukrani.Amesema ukweli wa moyo wake kadiri ya fikra zake hamtaki.Mna nini naye bwana Mwigulu?😂😂😂😂
Haniongezei wala hanipunguzii chochote. Hata katika makampuni binafsi hii tabia ya 'bootlicking' inamadhara makubwa. Na wengi wa tabia hii ni INCOMPETENT. Kama ulisikiliza speech yake ungeelewa muda aliyotumia katika 'praise speech' badala ya kuzungumzia real issues...Kwa maneno mengine ni dhahiri hana E.I.
 
Haniongezei wala hanipunguzii chochote. Hata katika makampuni binafsi hii tabia ya 'bootlicking' inamadhara makubwa. Na wengi wa tabia hii ni INCOMPETENT. Kama ulisikiliza speech yake ungeelewa muda aliyotumia katika 'praise speech' badala ya kuzungumzia real issues...Kwa maneno mengine ni dhahiri hana E.I.
Kwani umewasahau CCM?Na alifupisha.Angeanza kumsifu hadi demu wake.Unaumiza kichwa.Vipi bajeti uliipenda lakini?😂😂😂
 
Haniongezei wala hanipunguzii chochote. Hata katika makampuni binafsi hii tabia ya 'bootlicking' inamadhara makubwa. Na wengi wa tabia hii ni INCOMPETENT. Kama ulisikiliza speech yake ungeelewa muda aliyotumia katika 'praise speech' badala ya kuzungumzia real issues...Kwa maneno mengine ni dhahiri hana E.I.
Kwani umewasahau CCM?Na alifupisha.Angeanza kumsifu hadi demu wake.Unaumiza kichwa.Vipi bajeti uliipenda lakini?😂😂😂
 
Kampeni za urais hazijawahi kumuacha mtu salama
 
Kwani umewasahau CCM?Na alifupisha.Angeanza kumsifu hadi demu wake.Unaumiza kichwa.Vipi bajeti uliipenda lakini?😂😂😂
Hata tusipoipenda inapita NDIO kwa asilimia 200%. Sasa sisi wapangaji na pendekezo lao la kodi ya majengo kulipwa kupitia mfumo wa Luku....
 
Huyu kapewa hiyo wizara inaonekana baada ya kupigiwa debe na Kikwete kwani hata wakati Kikwete akiwa rais alimbeba sana huyu jamaa hata pale alipotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya utekaji wa watu pamoja na kushambuliwa kwa mikutano ya Chadema kule Arusha.

Ni aina ya mtu anayemsifia mfalme hata kama yuko uchi anamwambia amependeza ili tu malengo yake ya kimaslahi yatimie.
 
Nikimuona Mwigulu nakumbuka haya
IMG-20210607-WA0089.jpg
 
Napendekeza kuondoa hii 'bootlicking' behaviour yaani mawaziri wawe waajiriwa na mtu anatuma maombi na kupitia usaili. Maana uwaziri ni utumishi na utenganishwe na ubunge. Na kama sijakosea hii ilikuwemo kwenye mapendekezo ya katiba mpya.

Hivi mtu anaumia akitenguliwa ilhali bado ni Mbunge??? anasema nilikaa bench, hivi hakumbuki anaopaswa kuwatumikia wa kwanza ni wapiga kura waliyomuingiza bungeni? Hii ni akili duni sana na ulafi uliyokithiri.
ccm niwagumu sana kubadilika na kusoma alama za nyakati wanatuchulia poa
 
Asingemtaja ingemsaidia zaidi kisiasa kuliko alivyomtaja wewe pimbi! Ngoja utaona utakumbuka maneno yangu!!!
Hataka kama asingemtaja jk bado angenangwa na baje yake iso eleweka ya jinsia gani
 
Mwigulu anajipanga kugombea urais kama nafasi ikitokea. Anachofanya sasa ni siasa ili azma yake iweze kutimia. Ila amekosea sana maana kauza haki ya uzaliwa wake wa kwanza kwa bakuli ya dengu.
Dunia hii huwa haina tabia ya kusahau. Essau alilia sana baada ya baraka yake kumponyoka kwasababu ya kuendekeza njaa zake
 
Back
Top Bottom