HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kafikiria 2030 hukoMwigulu is smart that is the reason he had to invoke Kikwete in his speech as a way of putting his house close to power!!! He is a dangerous dude!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafikiria 2030 hukoMwigulu is smart that is the reason he had to invoke Kikwete in his speech as a way of putting his house close to power!!! He is a dangerous dude!!!
Mtu anapokuwa katika ukuaji kiumri na kiakili huwa anajenga matarajio ya mbeleni.Na mtu kusema alichonacho moyoni ni haki yake.Weye mpokeaji ndiyo inategemea unatesekaje.Asingesifu mngesema hana shukrani.Amesema ukweli wa moyo wake kadiri ya fikra zake hamtaki.Mna nini naye bwana Mwigulu?😂😂😂😂Napendekeza kuondoa hii 'bootlicking' behaviour yaani mawaziri wawe waajiriwa na mtu anatuma maombi na kupitia usaili. Maana uwaziri ni utumishi na utenganishwe na ubunge. Na kama sijakosea hii ilikuwemo kwenye mapendekezo ya katiba mpya.
Hivi mtu anaumia akitenguliwa ilhali bado ni Mbunge??? anasema nilikaa bench, hivi hakumbuki anaopaswa kuwatumikia wa kwanza ni wapiga kura waliyomuingiza bungeni? Hii ni akili duni sana na ulafi uliyokithiri.
Haniongezei wala hanipunguzii chochote. Hata katika makampuni binafsi hii tabia ya 'bootlicking' inamadhara makubwa. Na wengi wa tabia hii ni INCOMPETENT. Kama ulisikiliza speech yake ungeelewa muda aliyotumia katika 'praise speech' badala ya kuzungumzia real issues...Kwa maneno mengine ni dhahiri hana E.I.Mtu anapokuwa katika ukuaji kiumri na kiakili huwa anajenga matarajio ya mbeleni.Na mtu kusema alichonacho moyoni ni haki yake.Weye mpokeaji ndiyo inategemea unatesekaje.Asingesifu mngesema hana shukrani.Amesema ukweli wa moyo wake kadiri ya fikra zake hamtaki.Mna nini naye bwana Mwigulu?😂😂😂😂
Kwani umewasahau CCM?Na alifupisha.Angeanza kumsifu hadi demu wake.Unaumiza kichwa.Vipi bajeti uliipenda lakini?😂😂😂Haniongezei wala hanipunguzii chochote. Hata katika makampuni binafsi hii tabia ya 'bootlicking' inamadhara makubwa. Na wengi wa tabia hii ni INCOMPETENT. Kama ulisikiliza speech yake ungeelewa muda aliyotumia katika 'praise speech' badala ya kuzungumzia real issues...Kwa maneno mengine ni dhahiri hana E.I.
Kwani umewasahau CCM?Na alifupisha.Angeanza kumsifu hadi demu wake.Unaumiza kichwa.Vipi bajeti uliipenda lakini?😂😂😂Haniongezei wala hanipunguzii chochote. Hata katika makampuni binafsi hii tabia ya 'bootlicking' inamadhara makubwa. Na wengi wa tabia hii ni INCOMPETENT. Kama ulisikiliza speech yake ungeelewa muda aliyotumia katika 'praise speech' badala ya kuzungumzia real issues...Kwa maneno mengine ni dhahiri hana E.I.
Hata tusipoipenda inapita NDIO kwa asilimia 200%. Sasa sisi wapangaji na pendekezo lao la kodi ya majengo kulipwa kupitia mfumo wa Luku....Kwani umewasahau CCM?Na alifupisha.Angeanza kumsifu hadi demu wake.Unaumiza kichwa.Vipi bajeti uliipenda lakini?😂😂😂
ccm niwagumu sana kubadilika na kusoma alama za nyakati wanatuchulia poaNapendekeza kuondoa hii 'bootlicking' behaviour yaani mawaziri wawe waajiriwa na mtu anatuma maombi na kupitia usaili. Maana uwaziri ni utumishi na utenganishwe na ubunge. Na kama sijakosea hii ilikuwemo kwenye mapendekezo ya katiba mpya.
Hivi mtu anaumia akitenguliwa ilhali bado ni Mbunge??? anasema nilikaa bench, hivi hakumbuki anaopaswa kuwatumikia wa kwanza ni wapiga kura waliyomuingiza bungeni? Hii ni akili duni sana na ulafi uliyokithiri.
Hataka kama asingemtaja jk bado angenangwa na baje yake iso eleweka ya jinsia ganiAsingemtaja ingemsaidia zaidi kisiasa kuliko alivyomtaja wewe pimbi! Ngoja utaona utakumbuka maneno yangu!!!
Taratibu, SAbaya, MAkonda, na Sukuma yote.Kuondoa system iliyopo siyo rahisi sn
Bado Ally HapiTaratibu, SAbaya, MAkonda, na Sukuma yote.
tumempeleka kwa wakurya, akajimwambafai, alafu tumle kichwa;Bado Ally Hapi
Waoga sn wale jamaatumempeleka kwa wakurya, akajimwambafai, alafu tumle kichwa;