Mwigulu kujipendekeza to the Maximum, amfate Chalamila

Mwigulu kujipendekeza to the Maximum, amfate Chalamila

5bmE.jpg
 
Anajiingiza kwenye sintofahamu bila sababu za msingi.

Pia ni kutaka kufanya watu waamini anaeongoza ni JK sio mama sasa hilo sio sawa.

Hivi hamjui kwamba mama alishasema hapendi masifa ya kijinga?

Huko ni kumdharirisha mama asipokutumbua ushukuru
 
Asingemtaja ingemsaidia zaidi kisiasa kuliko alivyomtaja wewe pimbi! Ngoja utaona utakumbuka maneno yangu!!!
Hakuwa na sababu ya kufanya comparison ya hao watatu; good, better, best... Ameonyesha who is the best for personal reasons!
Kusifia si tatizo bali hiyo driving motive ya kusifia.
Somehow he was tactical, pale aliposema wa sasa ame pick some characteristics from both, JK and JP. The red card from jp and the yellow from jk.
Watu wenye kufikiri wakisoma au kusikiliza eneo hili watatia shaka tu. Pengine yafaa kupuuza na kusonga mbele. Mbele tutajua zaidi
 
MAMA.....Tunakuomba utuletee Hon Saada Mkuya ktk Wizara ya Mapesa.
Hii mambo ya kisifiasifia ni very much outdated
 
Hata darasani mwanafunzi hujibu swali na kutoa mfano pale inapobidi. Hakuna alichokosea Dr. Madelu Nchemba Mwigulu kwa kutoa mfano wa JK Vs SASUHA.
 
Huyu jamaa kwa kauli zake hizo za kujikomba komba kwa maza hadi anaharibu sidhani atadumu kwenye hiyo position.
 
Mwigulu is smart that is the reason he had to invoke Kikwete in his speech as a way of putting his house close to power!!! He is a dangerous dude!!!
He must behave so, it appears mzee JK holds the dangerous card.
 
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba umeleta taharuki kubwa sana ndani na nje ya nchi, kufuatia kauli yako ya Jana kumsifu kinafiki Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Kwa kauli hii nathubutu kusema haina tofauti na kauli ya aliyekua RC wa Mwanza Mr. Albert Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa ukichagizwa na kauli yake ya watu waandikie mabango hata ya matusi ktk kumlaki Rais ziarani Mwanza.

Ni wazi amefanya makusudi kuonyesha kwamba;
1.Mama Samia Suluhu siye anayengoza nchi kama wasemavyo watumiaji wa mitandaoni na hata minong'ono ya baadhi ya wananchi bali ni JK.

Kwamba JK ndio ameshika mpini kwa sasa.

2. Pili kujipendekeza kisiasa kuliko pitiliza baada ya kusoma alama za nyakati huku akitazama Bawa la mama limeelemea upande upi kiuongozi.

3. Muendelezo wa kusifu na kuabudu kama ilivyo ada yake, mtakumbuka enzi za Mwendazake hakuna sifa aliacha toa huku akiitetea serikali iliyopo madarakani hata baada ya uteuzi wake wa waziri wa mambo ya ndani kutenguliwa Kabla ya kuja kurudishwa tena

4. Bado ana ndoto ya Urais, na hapa ndo panapomtoaga akili kabisa hivyo yupo tayari kufanya lolote ili tu safari yake isijeishia njiani hivyo anaendelea kuvuta attention.

Maoni yangu, Huyu bwana Mwigulu utawala uchoke sasa kumbeba na kumuonea aibu ikiwezekana atumbuliwe kabisa.

Kwanza IQ yake ndogo sana kiuongozi ktk wizara wizara ya fedha inayohitaji mtu mwenye uwezo wa Hali ya juu.

Pili ni mnafiki wa kiwango cha lami, Hata mama ikitokea bahati mbaya hayupo leo basi ni wazi ataendelea kucheza na fursa tu(KINYONGA) kulingana na mazingira ilimradi aendelee kuteuliwa na kula mema ya nchi hii.

NI BORA CHEO CHA UWAZIRI WA FEDHA KUBAKI WAZI KULIKO KUENDELEA KUWA NA MWIGULU, HAAMINIKI KABISA HUYU MTU.
Si wanasemaga ni mtoto wa mchepuko wa JK! Kumfagilia baba yako kuna ubaya gani hasa kwa kuwa hayupo JPM 🤔! RIEP&P our forever beloved president Hon Dr JPM 🙏😭!
 
Si wanasemaga ni mtoto wa mchepuko wa JK! Kumfagilia baba yako kuna ubaya gani hasa kwa kuwa hayupo JPM 🤔! RIEP&P our forever beloved president Hon Dr JPM 🙏😭!

Anafanana na Miraji?
 
Nilikuwa namwamini, lakini sasa nimeshaona kumbe hana lolote, ndiyo maana watu waligawana fedha, yeye hata hana habari.
 
Nilikuwa namwamini, lakini sasa nimeshaona kumbe hana lolote, ndiyo maana watu waligawana fedha, yeye hata hana habari.
Hivi kwanini tusitumie huu wimbo badala ya wimbo wa Taifa
 
Back
Top Bottom