Mwigulu kuwa makini. Tozo zitakuharibia malengo ya kuwa Rais

Mwigulu kuwa makini. Tozo zitakuharibia malengo ya kuwa Rais

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Duh, hii nchi kuna mambo ya kipumbavu sana..... yani huyu madilu ndio hawe Rais
Wakati hata jimbo lake ni hoi ben tabani ..... ni kwanini uwe unamshauri hafanye maendeleo jimboni kwake kuliko kupambana na vitu vikubwa kama urais
Binafsi sioni kama Madilu hanafaa kuwa kiongozi mkuu wa hii nchii....tutazalisha umasikini kuliko kujenga uchumi

Then issue ya mwiguli kuitwa msomi mhandamizi siyo kweli, kwa kipimo cha usomi ni kupambana na changamoto na kuzitatua ila huyu anaitwa msomi ili hali hana impact yoyote kwenye jamii/Taifa zaidi ya kuwadidimiza kiuchumi.
 
Huyu jamaa mbona kitambo tu ni rais wa mawe na majabali yote nchini! Tangu 2015!!! Ila hatokuja kamwe kuwa Rais wa nchi.

Na ikitokea hivyo, basi kwa hiyari yangu nitahamia Burundi. Maana sitokuwa tayari kuongozwa/kutawaliwa naye.
 
Duh, hii nchi kuna mambo ya kipumbavu sana..... yani huyu madilu ndio hawe Rais
Wakati hata jimbo lake ni hoi ben tabani ..... ni kwanini uwe unamshauri hafanye maendeleo jimboni kwake kuliko kupambana na vitu vikubwa kama urais
Binafsi sioni kama Madilu hanafaa kuwa kiongozi mkuu wa hii nchii....tutazalisha umasikini kuliko kujenga uchumi

Then issue ya mwiguli kuitwa msomi mhandamizi siyo kweli, kwa kipimo cha usomi ni kupambana na changamoto na kuzitatua ila huyu anaitwa msomi ili hali hana impact yoyote kwenye jamii/Taifa zaidi ya kuwadidimiza kiuchumi.
Ben = bin, hanafaa = anafaa, mhandamizi = mwandamizi. Nadhani kwa huu usomi wako tukuchague uwe Rais.
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Jimboni kwake amefanya lipi la kujivuni?
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Nina wasiwasi huu unaweza kuwa uzi wa kijinga kushinda yote 2022
 
Si kila anayetaka urais atakuwa rais.
Na rais siyo lazima awe msomi mbobezi.
URAIS wanapata watu kutokana na upepo unavyovuma. Isingekuwa hivyo basi Doctor Mohamed Ghalib Bilal angeshakuwa RAIS wa Tanzania ( maana ana PhD, ambayo watanzania wachache sana wanayo)), tofauti na PhD za uchumi ambazo wanazo wengi sana.
 
Rais ajaye 2025
images.jpeg-309.jpg
images.jpeg-310.jpg
 
Kama ana hela ya kumzidi mzee wa Msoga basi ataukwaa urahisi ila hatakuwa rais wa Tanzania, hii nchi sio mali ya wezi na wanyan'ganyi bali mali ya Mungu muumba, na wananchi ndio wadau wakuu wa nchi hii.

Mungu ataamua nani afaaye kuwa rais, ila sio huyo kibaka.
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Huyu aliyewaza bia Wananchi waende Burundi.... Kweli bado ana sifa ya kuwa Rais!?
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Mwigulu si msoni wala mwanasiasa.

Msomi angejua ku justify tozo, mwanasiasa angejua kuwapoza wananchi bila kuwakebehi wahamie Burundi.
 
Back
Top Bottom