rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Labda awe rais wa yanga au singida united na Hana usomi zaidi ya kukariri darasani angekuwa amesoma angetambua madhara ya tozo kwenye simu na benki Kwa uchumi wa nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka ugomvi na wanyiramba mponde Mwigulu,,Tuache ushabiki wa kumtoa jimboni kwa kura hakuna,narudia Tena hakuna,barabara,umeme, kila Kijiji,vituo vya Afya kila kata.Jimboni kwake amefanya lipi la kujivuni?
hategemei kura, si wataiba,,,Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.
Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.
Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Akipitishwa na CCM kugombea hakuna kinacho shindikana. Maana tume ya Uchaguzi ni yetu.Yaani kuna watu kabisa mnamuaminisha Mwigulu anaweza kuwa Rais?kweli kabisa?
Ndo hapo sasa,na WA Tanzania tunaishia kupiga kelele mitandaoni tu. Nadhani hakuna jambo jepesi duniani kama kumuongoza mtanzaniahategemei kura, si wataiba,,,
Kama ni uchawa huu umezidi kiwango chake! Yaani Mwigulu awe Rais wa nchi? Over my dead body! Tutakuwa nchi la hovyo sana kama hata Madela naye anafaa kuwa Rais!Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.
Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.
Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Na ndio ningeamini ccm ni zimwi baya kabisa lisilojitambuaAkipitishwa na CCM kugombea hakuna kinacho shindikana. Maana tume ya Uchaguzi ni yetu.
Atakuja kuwa Rais.Mark my words.Yaani Mwigulu awe raisi? Kweli? acheni kuwaza upuuzi jamani!
Yaani ningehamia burundi I swear
Made in bukobaBen = bin, hanafaa = anafaa, mhandamizi = mwandamizi. Nadhani kwa huu usomi wako tukuchague uwe Rais.
Haya nayo ni matatizo ya Tozo[emoji849]Ben = bin, hanafaa = anafaa, mhandamizi = mwandamizi. Nadhani kwa huu usomi wako tukuchague uwe Rais.
Hata mimi naamini atakuja kuwa Rais wa Yanga.Atakuja kuwa Rais.Mark my words.
Naunga mkono hoja, Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.
Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.
Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa na haya mambo ya kupendeza.
Shida wote mna winda kujulikana ili kulamba teuzi tu. Ni Africa pekee ndio ina swaga za Marais Vijana. Ulaya karibu yote na America, marais wao hadi Ma speaker ni umri miaka 68 to 82. Tz sijui tunafikiria kinyume nyume!! Eti Mwigulu au Makamba wawe Rais. Upuuzi mtupu. Na mihemko zao Wizi, sifa na Umalaya huo.Naunga mkono hoja, Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Nakutakia sensa njema
P
Mkuu WAZO2010, ulaya ni ulaya na Afrika ni AfrikamNi Africa pekee ndio ina swaga za Marais Vijana. Ulaya karibu yote na America, marais wao hadi Ma speaker ni umri miaka 68 to 82. Tz sijui tunafikiria kinyume nyume!!
Shuhudia Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!Eti Mwigulu
Shuhudia January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best Presidentau Makamba wawe Rais.
Naomba fafanua upuuzi kivipi?Upuuzi mtupu.
Fafanua mihemko kivipi?.Na mihemko
Wizi gani?zao Wizi,
Sifa gani, Umalaya gani?.sifa na Umalaya huo.
Huyo ni reject kitamboMh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.
Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.
Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.