Mwigulu kuwa makini. Tozo zitakuharibia malengo ya kuwa Rais

Mwigulu kuwa makini. Tozo zitakuharibia malengo ya kuwa Rais

Jimboni kwake amefanya lipi la kujivuni?
Ukitaka ugomvi na wanyiramba mponde Mwigulu,,Tuache ushabiki wa kumtoa jimboni kwa kura hakuna,narudia Tena hakuna,barabara,umeme, kila Kijiji,vituo vya Afya kila kata.
Screenshot_20220714-190847.jpg
JamiiForums-2114461706.jpg
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
hategemei kura, si wataiba,,,
 
Aisee jamaa wewe una akili. Basi hizi tozo ni mchongo wa Rais Samia. Yaani watu wa system walienda kupenyeza kwa Mwigulu ili alete tozo na alaumiwe Mwigulu ili kumharibia ndoto za urais na yeye Mwigulu akaingi bichwa lote, same kwa Makamba bei ya mafuta, kukatika umeme ili alaumiwe Makamba na kumchonganisha na wananchi ili akose ndoto za urais same kwa Nape. Nadhani Mwigulu kama anaona au Makamba au Nape wajihudhuru haraka kulinda nafasi zao kisiasa za baadaye. Ingawa kuielewa hii kitu unahitaji akili za ziada. Ila watu wa system wabaya sana. Ina maana sasa anayechafuka ni hawa mawaziri na siyo Mh. Rais Samia.
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Kama ni uchawa huu umezidi kiwango chake! Yaani Mwigulu awe Rais wa nchi? Over my dead body! Tutakuwa nchi la hovyo sana kama hata Madela naye anafaa kuwa Rais!
 
Naona wengine tushapewa alert mapema

Ova
Screenshot_20220822-100228_Messages.jpg
 
Yaani Mwigulu awe raisi? Kweli? acheni kuwaza upuuzi jamani!
Yaani ningehamia burundi I swear
 
Kwa Tanzania wala haziwezi muharibia chochote. Tena akishapitishwa kugombea kwa Tiketi ya CCM,kishakuwa Raïs. Watanzania cheo cha Urais huwa tunachagua chama. CCM hata wamteue Katambi kugombea urais. Atashinda tu.
 
Ben = bin, hanafaa = anafaa, mhandamizi = mwandamizi. Nadhani kwa huu usomi wako tukuchague uwe Rais.
Haya nayo ni matatizo ya Tozo[emoji849]
Tumekua na matatizo ya L na R ,dh na th , hili la A na H limeibuka hivi karubuni.
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa na haya mambo ya kupendeza.
Naunga mkono hoja, Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Nakutakia sensa njema
P
 
mNi Africa pekee ndio ina swaga za Marais Vijana. Ulaya karibu yote na America, marais wao hadi Ma speaker ni umri miaka 68 to 82. Tz sijui tunafikiria kinyume nyume!!
Mkuu WAZO2010, ulaya ni ulaya na Afrika ni Afrika
Eti Mwigulu
Shuhudia Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
au Makamba wawe Rais.
Shuhudia January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Upuuzi mtupu.
Naomba fafanua upuuzi kivipi?
Na mihemko
Fafanua mihemko kivipi?.
zao Wizi,
Wizi gani?
sifa na Umalaya huo.
Sifa gani, Umalaya gani?.
P
 
Mh Mwigulu ni kweli wewe ni msomi wa hali ya juu na hilo halina ubishi. Kutoka Ilboru hadi UDSM sio jambo la masikhara. Wewe ni mwanasiasa msomi. Pia ni mwanasiasa mwenye haiba ya uongozi na unafaa hata kuwa Rais wa nchi hii. Binafsi namshukuru Mungu kwa mabadiliko uliyoyaonyesha kuanzia mwishoni mwa uongozi wa JK. Enzi zako za ujana kuna picha zilienea ukimvalisha mbuzi tshirt ya CHADEMA kitu ambacho hakikuwa sawa. Bahati nzuri ulishtuka na ukaachana na siasa za aina ile. Hata zile siasa za kuandika mawe barabarani sidhani kama utaendelea nazo. Kwa ufupi Mwigulu unafaa kuwa Rais. Haiba na elimu unayo huku ukiwa na uzoefu wa uongozi kuanzia UVCCM.

Kwenye awamu hii ya sita pia ulianza vizuri ingawa kuna mambo ulikuwa unafanya mwanzoni yalikuwa ya kisiasa. Kwa mfano wewe waziri kuweka mikutano ya hadhara kwa kisingizio cha kuongea na wananchi ilikuwa ni kampeni za siri. Bahati nzuri pia umeachana na hiyo style. Kwa sisi tunaokumbuka harakati zako za kutaka uwe rais tulishakusoma.

Mimi kama mtu ninayevutiwa na aina yako ya siasa ninakusihi achana na haya mambo ya kupendekeza mambo yanayowaumiza watanzania. Hizi ishu za tozo zinakuharibia mno. Hatuwezi kumlaumu mtu mwingine zaidi yako wewe waziri mwenye dhamana. Inawezekana wataalamu wanakuletea hizi ideas kwa lengo la kukuharibia nia yako. CCM haitabiriki kabisa hasa nyakati za uchaguzi. Zile nyakati waweza shangaa ukapigwa chini hata tano bora usifike ili CCM isijiharibie kwa wananchi. Nakushauri peleka muswada wa dharura bungeni hii sheria inayohusiana na tozo irekebishwe.
Huyo ni reject kitambo
 
Back
Top Bottom