Mwigulu kuwa makini. Tozo zitakuharibia malengo ya kuwa Rais

Sikubaliani vitu vitatu kwenye hii mafa yako;

1. Mwigulu siyo msomi wa hali ya juu kwa kuwa hata PhD yake ni ya kuandikiwa tu baada ya kutoa pesa. Siyo rahisi kupata PhD ukiwa Waziri ambaye uko kazini kila wakati. Hizi PhD za akina Magufuli, Mwigulu, Doto Biteko na Selemani Jafo, wanatoa fedha na kuandikiwa na maprofesa wa vyuoni.

2. Mwigulu hawezi kuwa Rais wa Tanzania kamwe. Ataishia kuwa na ndoto tu. Mwigulu ana baadhi ya tabia za ki-Makonda au Ki-Magufuli za kuua wapinzani. Nchi hii haiwezi kurudi kwa mijitu mikatili tena
 
Da kaona kodi haitoshi,mikopo haiyoshi,sasa tozo nazo pia wanaona hazitoshi,waataamia kodi ya kichwa kila utembeapo lipia 1000.
 
Sasa kama Ulaya ni Ulaya na Africa ni Africa. Kuna technologia gani Africa tunaweza jivunia Africa? Chanjo zote Ulaya. Hii Democrasia tume Copy wapi? Why tusi copy na umri wa ma Rais wa Ulaya? 60s+ . Au tuna copy chenye ku favour baadhi ya watu tu ila visivyo wa favour mna tupa kapuni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…