Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 347
Nchemba kagusa sehemu muhimu sana amenishawishi kwa kiasi fulani kuwa CCM wanajembe la kusimamisha urais
tatizo watu kama nchemba hawatapendekezwa na sisiemu, take my word
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchemba kagusa sehemu muhimu sana amenishawishi kwa kiasi fulani kuwa CCM wanajembe la kusimamisha urais
Mi niko kijijini hakuna mtu anaemfahamu mwigulu.au umemchanganya edo na mwigulu?Bila kujali itikadi za kichama, Mwigulu Nchemba ndo mtia nia pekee katika chama cha kijani (CCM) ambae anaongelewa kila kona ya nchi, magazeti na mitandao ya kijamii yameandika juu ya huyu mtia nia kwa kiwango cha juu kuliko mtia nia yoyote ndani ya chama hicho.
Katika jamii forum pekee zaidi ya michango takribani 2000 imelekezwa juu ya Nchemba toka jana siku ambayo mtia nia huyu alikuwa anatangaza nia yake ya kuusaka " unyerere" katika nchi hii. Michango hii inajumuisha michango yote inayomuunga mkono na ile yenye kumkosoa.
Swali: Je, hii ni ishara kuwa Nchemba ndo atapewa kuipeperusha bendera ya CCM kuelekea ikulu?
Hii hoja ya umri ni nyepesi sana kaka kumbuka Nyerere alikabidhiwa nchi akiwa na umri gani na mambo aliyoyafanya to be honest hakuna Raisi yeyote aliyoyafikia isipokuwa kuyabomoa kaka.swala la umri sio hoja wala hakuna uzoefu unaohitajika kwenye kufanya mambo yaende isipokuwa ni dhamira ya dhati ya mtu huyo ya kuwatumikia watu kwa haki na usawa.
Mwigulu hawezi kuingia hata tano bora.
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege
Hivi ule ushahidi slio sema atautoa hata mbinguni kuhusu Mh Lwakatare amesha utoa? Ina kuwaje mnamshabikia gaidi? Hii nchi haiwezi kuongozwa na magaidi.
Aliwahi kuhusishwa na mauaji Arusha je mbona hakukanusha? Uzinzi Igunga, leo awe rais? Hivi kweli Watanzania tumelogwa?
We hujawahi kuzini?. Kwanza kumbuka umezaliwa Nje ya ndoa, wadanganye wasiokujua
Usiishie kusema tu mkuu, tusaidie tutoke huko kwenye akili za panzi. Vinginevyo utakuja kuongozwa na viongozi hao hao wenye akili za panzi.
ANAFAA KUWA RAIS LAKINI MUDA BADO STILL 2 YOUNG/ asubirie 2025
apate uzoefu ndani ya serekali kwanza!!!
ANAFAA KUWA RAIS LAKINI MUDA BADO STILL 2 YOUNG/ asubirie 2025
apate uzoefu ndani ya serekali kwanza!!!