Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Mwigulu anahubiri mambo ya misamaha mikubwa ya kodi na kodi za wajasiriamali wakati hata sasa hivi yupo wizara ya Fedha lkn hajafanya chochote,huyu mnafiki hana lolote tapeli huyu Mwigulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mwigulu huyuhuyu huwa anapinga na kuponda Sera za UKAWA hasa CHADEMA kufa na kupona halafu leo tumuamini? Heri umuamini Malaya anayeuza mwili sio m....aya wa siasa.tatizo ndani ya ccm hayo mambo ya ukawa hawawezi kuyakubali kamwe. mwigulu kazungumza mambo ya ukawa tupu.
Wanabodi,
Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.
Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.
NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.
JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.
Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.
NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.
Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.
Vipi wewe?.
Pasco
Pasco Sio wewe tu hadi sasa kati ya watangaza nia mwigulu yuko juu ngoja tuendelee kuona tatizo mfumo Wa ccm unaharibu viongozi wazuri ambao huwa tunawaamini ndio hapo sasa ninapoichukia ccm na yeyote aliye ndani ya ccm. Nimeweka ushabiki pembeni
Will he walk the talk?
That's it. You nailed itSome of these folks are just prisoners of the moment.
Subiri na dogo wa Makamba naye atangaze nia yake uone atakavyomwagiwa misifa.
Utasikia haya haya na hata zaidi kuwa yeye ndo anafaa kuwa rais. Utaambiwa jamaa ni kichwa sana, jamaa ana maono ya kimaendeleo, na upuuzi puuzi mwingine kama huo.
Watanzania ni watu wa kuvutiwa na vitu vidogo vidogo mno, wepesi wa kusahau, na warahisi wa kuamini mazingaombwe.
Wanabodi,
Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.
Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.
NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.
JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.
Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.
NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.
Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.
Vipi wewe?.
Pasco
Jamaa kaipiga madongo serikali kisawasawa! Yaani utafikiri yeye siyo waziri wa serikali na pia ndo katoka kujiuzuru unaibu katibu mkuu wa ccm!