Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Brother Pasco wakati mwingine predictions zako zina kosea sana
Hata uwaziri wa kilimo unamshinda,zaidi ya nusu mwaka sasa hajatoa mwelekeo wowote wa wizara yake
Lini amezungumzia mbolea,pembejeo,masoko,hifadhi ya mazao, dawa za mifugo,nyavu haramu,kuwawexesha wavuvi,hali ya chakula nk..
Kuvamia machinjioni usiku akiwa na kamera za tv ndio signature yake
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa wengine wawili waliyoyatamka yametoka tuu midomoni mwao, hivyo kiukweli kabisa wa nafsi yangu, nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia watatu so far, naamini Mwigulu can make the best president this country has ever had tangu Mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB: To make the best president ni jambo moja, lakini kuchaguliwa na chama kuwa mgombea ni jambo jingine!.

Kati wa watangaza nia hawa watatu, kuna mgombea anayependwa sana na watu na huyu sii mwingine bali ni ni Edward Lowassa, jee ni kwa nini Edward Lowassa anapendwa sana, sababu zinajulikana!, ila kama urais ni kupendwa basi rais wetu ni Lowassa!.

Kuna mgombea ambaye ni the most experieced so far, huyu ni Stephen Wasira, yeye ana uzoefu toka enzi za Nyerere alikuwa mbunge wa CCM, akahama CCM na kuwa mbunge wa upinzani, na kisha kurejea CCM, hivyo kama urais ni uzoefuu, then rais wetu ni Wasira.

Kati ya hawa watangaza nia watatu wa mwanzo wa CCM, Mwigulu Nchemba kwenye aspect ya originality na genuinety, Mwigulu ndio the most real, the most original na the most genuine!.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.

Wakati tukielekea kumpata rais wetu wa 2015, kwa vile CCM ndio chama tawala, hatuwezi kukwepa kuuzungumzia mtindo wa uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM kwa sababu za kihistoria ya hii miaka 50 ya uhuru wetu, mgombea wa CCM ndie rais wa nchi, unless kama mwaka huu historia itabadilika!.

Tukiuchukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu 'anayependwa na watu', mtu 'atakayechagulika' kwa urais kwa lengo la kuwapatia ushindi, na baada ya kumpitisha mbinu nyingine zote safi na chafu hutumika kwa sababu lengo ni ushindi, na ukiishapatikana zile mbinu zilizotumika zinakuwa justified na the end results.

Hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, JK was never the best, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa JK kwa hoja kuwa 'ni mwenzetu' ndiye 'anayependwa na watu', as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!. Matokeo ya kumchagua rais 'mwenzetu' na sifu kuu ni 'kupendwa na watu' ili kukiletea chama ushindi wa kishindo, ndio haya ya kuunda serikali ya kishikaji yenye madudu kibao!, watu wakiboronga ni kuhamishia tuu, kwa sababu ni 'wenzetu', jee kwa 2015 Watanzania wanahitaji rais 'mwenzetu' tena, au this time tunahitaji the best?!.

JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.

NB. Kwa walionidhania mimi Paskali, niko kambi fulani, naomba tena kuwathibitishia kuwa Paskali hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', lakini linapokuja suala la kuchagua kati ya mapenzi binafsi kwa watu na maslahi ya taifa, nitatanguliza mbele maslahi ya taifa!, hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Hivyo kati ya hawa watatu wa mwanzo, kiukweli mimi Paskali, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Paskali

NB. Kutokana na kuwa bize na mambo mengi, sitaweza kuchangia uzi huu, wala kujibu hoja au swali lolote hivyo nitakushukuru kama utasoma tuu bila kuniuliza chochote!.
Nimelikumbuka hili bandiko, namhurumia sana Mwigulu Mchemba, ni too genuine na too truthful kwenye utawala wa juu usiopenda kuambiwa ukweli.

Leo nimemsikia akitangaza kuwa aliyemtolea Nape bastola sio askari polisi, hii maanake asipokuwa polisi then ni wale jamaa. Hivyo kitendo cha Mwigulu kusema sio polisi kinaweza kumgharimu, endapo mhusika ni mmoja wa wale wavaa makirikiri wa kile kikosi maalum cha ulinzi wa Bashite, hivyo Mwigulu mwenyewe it's just a matter of time.

Paskali
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa wengine wawili waliyoyatamka yametoka tuu midomoni mwao, hivyo kiukweli kabisa wa nafsi yangu, nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia watatu so far, naamini Mwigulu can make the best president this country has ever had tangu Mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB: To make the best president ni jambo moja, lakini kuchaguliwa na chama kuwa mgombea ni jambo jingine!.

Kati wa watangaza nia hawa watatu, kuna mgombea anayependwa sana na watu na huyu sii mwingine bali ni ni Edward Lowassa, jee ni kwa nini Edward Lowassa anapendwa sana, sababu zinajulikana!, ila kama urais ni kupendwa basi rais wetu ni Lowassa!.
Sio vizuri kwa mwandishi wa habari kuandika kiingereza kibovu. "he preach" should be written as "he preaches."
Kuna mgombea ambaye ni the most experieced so far, huyu ni Stephen Wasira, yeye ana uzoefu toka enzi za Nyerere alikuwa mbunge wa CCM, akahama CCM na kuwa mbunge wa upinzani, na kisha kurejea CCM, hivyo kama urais ni uzoefuu, then rais wetu ni Wasira.

Kati ya hawa watangaza nia watatu wa mwanzo wa CCM, Mwigulu Nchemba kwenye aspect ya originality na genuinety, Mwigulu ndio the most real, the most original na the most genuine!.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.

Wakati tukielekea kumpata rais wetu wa 2015, kwa vile CCM ndio chama tawala, hatuwezi kukwepa kuuzungumzia mtindo wa uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM kwa sababu za kihistoria ya hii miaka 50 ya uhuru wetu, mgombea wa CCM ndie rais wa nchi, unless kama mwaka huu historia itabadilika!.

Tukiuchukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu 'anayependwa na watu', mtu 'atakayechagulika' kwa urais kwa lengo la kuwapatia ushindi, na baada ya kumpitisha mbinu nyingine zote safi na chafu hutumika kwa sababu lengo ni ushindi, na ukiishapatikana zile mbinu zilizotumika zinakuwa justified na the end results.

Hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, JK was never the best, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa JK kwa hoja kuwa 'ni mwenzetu' ndiye 'anayependwa na watu', as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!. Matokeo ya kumchagua rais 'mwenzetu' na sifu kuu ni 'kupendwa na watu' ili kukiletea chama ushindi wa kishindo, ndio haya ya kuunda serikali ya kishikaji yenye madudu kibao!, watu wakiboronga ni kuhamishia tuu, kwa sababu ni 'wenzetu', jee kwa 2015 Watanzania wanahitaji rais 'mwenzetu' tena, au this time tunahitaji the best?!.

JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.

NB. Kwa walionidhania mimi Paskali, niko kambi fulani, naomba tena kuwathibitishia kuwa Paskali hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', lakini linapokuja suala la kuchagua kati ya mapenzi binafsi kwa watu na maslahi ya taifa, nitatanguliza mbele maslahi ya taifa!, hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Hivyo kati ya hawa watatu wa mwanzo, kiukweli mimi Paskali, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Paskali

NB. Kutokana na kuwa bize na mambo mengi, sitaweza kuchangia uzi huu, wala kujibu hoja au swali lolote hivyo nitakushukuru kama utasoma tuu bila kuniuliza chochote!.
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa wengine wawili waliyoyatamka yametoka tuu midomoni mwao, hivyo kiukweli kabisa wa nafsi yangu, nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia watatu so far, naamini Mwigulu can make the best president this country has ever had tangu Mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB: To make the best president ni jambo moja, lakini kuchaguliwa na chama kuwa mgombea ni jambo jingine!.

Kati wa watangaza nia hawa watatu, kuna mgombea anayependwa sana na watu na huyu sii mwingine bali ni ni Edward Lowassa, jee ni kwa nini Edward Lowassa anapendwa sana, sababu zinajulikana!, ila kama urais ni kupendwa basi rais wetu ni Lowassa!.

Kuna mgombea ambaye ni the most experieced so far, huyu ni Stephen Wasira, yeye ana uzoefu toka enzi za Nyerere alikuwa mbunge wa CCM, akahama CCM na kuwa mbunge wa upinzani, na kisha kurejea CCM, hivyo kama urais ni uzoefuu, then rais wetu ni Wasira.

Kati ya hawa watangaza nia watatu wa mwanzo wa CCM, Mwigulu Nchemba kwenye aspect ya originality na genuinety, Mwigulu ndio the most real, the most original na the most genuine!.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.

Wakati tukielekea kumpata rais wetu wa 2015, kwa vile CCM ndio chama tawala, hatuwezi kukwepa kuuzungumzia mtindo wa uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM kwa sababu za kihistoria ya hii miaka 50 ya uhuru wetu, mgombea wa CCM ndie rais wa nchi, unless kama mwaka huu historia itabadilika!.

Tukiuchukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu 'anayependwa na watu', mtu 'atakayechagulika' kwa urais kwa lengo la kuwapatia ushindi, na baada ya kumpitisha mbinu nyingine zote safi na chafu hutumika kwa sababu lengo ni ushindi, na ukiishapatikana zile mbinu zilizotumika zinakuwa justified na the end results.

Hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, JK was never the best, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa JK kwa hoja kuwa 'ni mwenzetu' ndiye 'anayependwa na watu', as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!. Matokeo ya kumchagua rais 'mwenzetu' na sifu kuu ni 'kupendwa na watu' ili kukiletea chama ushindi wa kishindo, ndio haya ya kuunda serikali ya kishikaji yenye madudu kibao!, watu wakiboronga ni kuhamishia tuu, kwa sababu ni 'wenzetu', jee kwa 2015 Watanzania wanahitaji rais 'mwenzetu' tena, au this time tunahitaji the best?!.

JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.

NB. Kwa walionidhania mimi Paskali, niko kambi fulani, naomba tena kuwathibitishia kuwa Paskali hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', lakini linapokuja suala la kuchagua kati ya mapenzi binafsi kwa watu na maslahi ya taifa, nitatanguliza mbele maslahi ya taifa!, hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Hivyo kati ya hawa watatu wa mwanzo, kiukweli mimi Paskali, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Paskali

NB. Kutokana na kuwa bize na mambo mengi, sitaweza kuchangia uzi huu, wala kujibu hoja au swali lolote hivyo nitakushukuru kama utasoma tuu bila kuniuliza chochote!.
 
Wanabodi,
Mwigulu Lameck Nchemba is the most bona fide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.


JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.

Paskali.
Kufuatia kinachoendelea ndani ya nchi yetu, kwa kauli za Mbunge Zitto, zimethibitisha pasi shaka kuwa Bashite ndiye anayeiendesha ile "idara", kumbe wale jamaa wa makirikiri ni wale "jamaa zetu", kwa kuzingatia kilichomkuta Nape alipotaka kumshughulikia Bashite, na kumbe kwenye baadhi ya haya madudu ya utekaji, Bashite anahusika, kufuatia kuonekana kwa wale makirikiri kwenye uwamizi wa Clouds, na yule aliyekuwa akiwatishia "nyau" wakubwa pale St. Peter pia ni "wale jamaa", hivyo Mwigulu kaamua kujinyamazia, hivyo kwa kuzingatia wasifu wake humu, na baada ya kusoma maoni haya...
***
KUPIKA MAJUNGU KAMA HAYO NI UTARATIBU WA BAADHI YA WANA CCM WACHACHE WANAFIKI NA WAZINDAKI
•mwigulu Chapa kazi pia nakusifu kwa sababu wewe si mtu kimbelelmbele../ umesoma vyema ukahitimu vyema / THANKS KWA KUKAA KAMA MSOMI./ HUROPOKI HOVYO NA UNATAFAKARI KWANZA MAMBO KWA KINA KABLA YA KUCHUKUA MAAMUZI,THATS WHAT WE WANT.
Asante kwa hii post, namkumbuka Mwigulu, niliwahi kusema hivi juu ya mtu huyu na bado naamini, we have missed one of the best we have!, but most unfortunately, he is on his way out!.

NB, ukiwa so good ndani ya timu so bad, ukiwa too truthfully ndani ya timu ya hadaa, ukiwa too genuine ndani ya
fake team or counterfeit, huwezi kufit!, hivyo its only a matter of time!.
Hongera sana Mwigulu kwa uvumilivu na ustahimilivu, na pole in advance!.
Paskali
 
We nawe unachusha sasa, mara Mwigulu can make a good president mara Bashite can make a good president tushike lipi.
 
Mwigulu anaipenda Tanzania kiasi kwamba lazima avae bendera ya Taifa kila siku .... kama siyo Tai, ni scuff, T-shirt au kofia!!
 
Kufuatia kinachoendelea ndani ya nchi yetu, namkumbuka Mwigulu, niliwahi kusema hivi juu ya mtu huyu na bado naamini, we have missed one of the best we have!, but most unfortunately, he is on his way out!.

NB, ukiwa so good ndani ya timu so bad, ukiwa too truthfully ndani ya timu ya hadaa, ukiwa too genuine ndani ya
fake team or counterfeit, huwezi kufit!, hivyo its only a matter of time!.
Hongera sana Mwigulu kwa uvumilivu na ustahimilivu, na pole in advance!.
Paskali
Nafanya tuu rejea, kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi.

P.
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa wengine wawili waliyoyatamka yametoka tuu midomoni mwao, hivyo kiukweli kabisa wa nafsi yangu, nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia watatu so far, naamini Mwigulu can make the best president this country has ever had tangu Mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB: To make the best president ni jambo moja, lakini kuchaguliwa na chama kuwa mgombea ni jambo jingine!.

Kati wa watangaza nia hawa watatu, kuna mgombea anayependwa sana na watu na huyu sii mwingine bali ni ni Edward Lowassa, jee ni kwa nini Edward Lowassa anapendwa sana, sababu zinajulikana!, ila kama urais ni kupendwa basi rais wetu ni Lowassa!.

Kuna mgombea ambaye ni the most experieced so far, huyu ni Stephen Wasira, yeye ana uzoefu toka enzi za Nyerere alikuwa mbunge wa CCM, akahama CCM na kuwa mbunge wa upinzani, na kisha kurejea CCM, hivyo kama urais ni uzoefuu, then rais wetu ni Wasira.

Kati ya hawa watangaza nia watatu wa mwanzo wa CCM, Mwigulu Nchemba kwenye aspect ya originality na genuinety, Mwigulu ndio the most real, the most original na the most genuine!.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.

Wakati tukielekea kumpata rais wetu wa 2015, kwa vile CCM ndio chama tawala, hatuwezi kukwepa kuuzungumzia mtindo wa uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM kwa sababu za kihistoria ya hii miaka 50 ya uhuru wetu, mgombea wa CCM ndie rais wa nchi, unless kama mwaka huu historia itabadilika!.

Tukiuchukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu 'anayependwa na watu', mtu 'atakayechagulika' kwa urais kwa lengo la kuwapatia ushindi, na baada ya kumpitisha mbinu nyingine zote safi na chafu hutumika kwa sababu lengo ni ushindi, na ukiishapatikana zile mbinu zilizotumika zinakuwa justified na the end results.

Hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, JK was never the best, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa JK kwa hoja kuwa 'ni mwenzetu' ndiye 'anayependwa na watu', as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!. Matokeo ya kumchagua rais 'mwenzetu' na sifu kuu ni 'kupendwa na watu' ili kukiletea chama ushindi wa kishindo, ndio haya ya kuunda serikali ya kishikaji yenye madudu kibao!, watu wakiboronga ni kuhamishia tuu, kwa sababu ni 'wenzetu', jee kwa 2015 Watanzania wanahitaji rais 'mwenzetu' tena, au this time tunahitaji the best?!.

JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.

NB. Kwa walionidhania mimi Paskali, niko kambi fulani, naomba tena kuwathibitishia kuwa Paskali hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', lakini linapokuja suala la kuchagua kati ya mapenzi binafsi kwa watu na maslahi ya taifa, nitatanguliza mbele maslahi ya taifa!, hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Hivyo kati ya hawa watatu wa mwanzo, kiukweli mimi Paskali, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Paskali

NB. Kutokana na kuwa bize na mambo mengi, sitaweza kuchangia uzi huu, wala kujibu hoja au swali lolote hivyo nitakushukuru kama utasoma tuu bila kuniuliza chochote!.
Pascal unaruhusiwa kufuta topic na miuono yako baada ya kuona ukweli wa huyu mwana Ilboru mwenzangu. Ni mnafiki wa kutupa
 
Watu wengi wametumbliwa awamu hii lakini hatujawahi kusikia madudu yao yakianikwa
Katika changamoto zote zilizotajwa mbona kutekwa, kupotea kwa watu na mauaji ya watu haiku or of he she a?
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa .

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.
Anajulikana kwa Upigaji tokea akiwa ndani ya Chama ( CCM ) kwa Vyeo alivyokuwa navyo na kwa nafasi za Uwaziri alizowahi Kushika na hakuna analosingiziwa nalo ila hujui kwakuwa Wewe si mfuatiliaji mzuri wa Mambo makubwa na mazito yaliyojificha.
Madelu (Mwigulu) ni MWIZI na si mwadilifu hata kidogo. It is an open secret na labda ni Samia tu ndio anajifanya kutojua
kuna vingine mnamsingizia !.
P
 
Mi navyofahamu huyu mtu anatafutwa na Interpol.
Na we lazima uelewe wivu wa wanawake. Ukisema huyu anafaa kuwa rais utasikia Cabinet Reshuffle kesho.
 
Na Wewe ile Kura yako Moja tu uliyoipata Jimboni Kawe katika Kura za Maoni CCM ulisingiziwa au ulistahili?
Nilistahili, kwa sababu mkono wangu ni mfupi, watu wanaitwa wajumbe, ni machoni ni kama watu, lakini wajumbe sio watu kabisa!.

Wajumbe wanataka watu wenye mkono mrefu, mkono mtupu haulambwi !.

P
 
Back
Top Bottom