Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Nilistahili, kwa sababu mkono wangu ni mfupi, watu wanaitwa wajumbe, ni machoni ni kama watu, lakini wajumbe sio watu kabisa!.

Wajumbe wanataka watu wenye mkono mrefu, mkono mtupu haulambwi !.

P
Kumbe bunge letu limejaa watu wenye mikono mirefu sio wenye sifa na ridhaa ya wananchi ndio maana wapo kuitetea serikali sio kuwatetea wananchi
 
Kumbe bunge letu limejaa watu wenye mikono mirefu sio wenye sifa na ridhaa ya wananchi ndio maana wapo kuitetea serikali sio kuwatetea wananchi
Wako wabunge wenye sifa, ila kuwa na sifa pekee hakukufanyi mbunge, kinachokupa ubunge ni urefu wa mkono wako na sio sifa na uwezo wako wa uongozi.

Matokeo yake, kuna wenye sifa na uwezo and at the same time ana mkono mrefu. Kundi hili mule bungeni, hutawasikia wakioongea chochote, kule unaongea mkono!. Wabunge kama Nimrod Mkono, Mo Dewji, Rostam Aziz, Sumri, Abood, etc, hawachangii kitu.

Na kuna wabunge ambao hawana sifa ila wana mkono mrefu, hawa ni kelele tuu na kupiga meza, kuunga mkono hoja.

P
 
Wako wabunge wenye sifa, ila kuwa na sifa pekee hakukufanyi mbunge, kinachokupa ubunge ni urefu wa mkono wako na sio sifa na uwezo wako wa uongozi.

Matokeo yake, kuna wenye sifa na uwezo and at the same time ana mkono mrefu. Kundi hili mule bungeni, hutawasikia wakioongea chochote, kule unaongea mkono!. Wabunge kama Nimrod Mkono, Mo Dewji, Rostam Aziz, Sumri, Abood, etc, hawachangii kitu.

Na kuna wabunge ambao hawana sifa ila wana mkono mrefu, hawa ni kelele tuu na kupiga meza, kuunga mkono hoja.

P
Uko muwazi Sana P ila kwa hali ya watanzania bunge letu sio la kujaza sana wafanyabiasha ili kuepusha mgongano wa maslahi labda wakiwa na sifa ila tatizo hatuna sheria ya kuweka mipaka ya wazi kutenganisha kati ya uongozi na biashara zao
 
No, not now; huo urais wanautafuta kwa nguvu sana, mpaka kuwaumiza walalahoi, hawa ndio huenda kufanya biashara ikulu.
 
President to be, MWIGULU !!!!
Sasa unamtoa MWIGULU unamweka nani?

Kwa mwigulu, presidency is loading ni muda tu kabla hajawa rais
Mkuu Marytina, naunga mkono hoja na kiukweli huyu jamaa akija kuwa, atakuwa ni mzuri sana, angalia hii assessment ambayo akina sisi tuliisha mmfanyia, he'll make one of the best we have!.

P
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa wengine wawili waliyoyatamka yametoka tuu midomoni mwao, hivyo kiukweli kabisa wa nafsi yangu, nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia watatu so far, naamini Mwigulu can make the best president this country has ever had tangu Mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB: To make the best president ni jambo moja, lakini kuchaguliwa na chama kuwa mgombea ni jambo jingine!.

Kati wa watangaza nia hawa watatu, kuna mgombea anayependwa sana na watu na huyu sii mwingine bali ni ni Edward Lowassa, jee ni kwa nini Edward Lowassa anapendwa sana, sababu zinajulikana!, ila kama urais ni kupendwa basi rais wetu ni Lowassa!.

Kuna mgombea ambaye ni the most experieced so far, huyu ni Stephen Wasira, yeye ana uzoefu toka enzi za Nyerere alikuwa mbunge wa CCM, akahama CCM na kuwa mbunge wa upinzani, na kisha kurejea CCM, hivyo kama urais ni uzoefuu, then rais wetu ni Wasira.

Kati ya hawa watangaza nia watatu wa mwanzo wa CCM, Mwigulu Nchemba kwenye aspect ya originality na genuinety, Mwigulu ndio the most real, the most original na the most genuine!.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.

Wakati tukielekea kumpata rais wetu wa 2015, kwa vile CCM ndio chama tawala, hatuwezi kukwepa kuuzungumzia mtindo wa uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM kwa sababu za kihistoria ya hii miaka 50 ya uhuru wetu, mgombea wa CCM ndie rais wa nchi, unless kama mwaka huu historia itabadilika!.

Tukiuchukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu 'anayependwa na watu', mtu 'atakayechagulika' kwa urais kwa lengo la kuwapatia ushindi, na baada ya kumpitisha mbinu nyingine zote safi na chafu hutumika kwa sababu lengo ni ushindi, na ukiishapatikana zile mbinu zilizotumika zinakuwa justified na the end results.

Hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, JK was never the best, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa JK kwa hoja kuwa 'ni mwenzetu' ndiye 'anayependwa na watu', as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!. Matokeo ya kumchagua rais 'mwenzetu' na sifu kuu ni 'kupendwa na watu' ili kukiletea chama ushindi wa kishindo, ndio haya ya kuunda serikali ya kishikaji yenye madudu kibao!, watu wakiboronga ni kuhamishia tuu, kwa sababu ni 'wenzetu', jee kwa 2015 Watanzania wanahitaji rais 'mwenzetu' tena, au this time tunahitaji the best?!.

JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!. Ndio maana mwaka jana, nilipoelezwa mgombea wa CCM kwa mwaka huu ni huyu, Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, nilitoa angalizo langu!.

NB. Kwa walionidhania mimi Paskali, niko kambi fulani, naomba tena kuwathibitishia kuwa Paskali japo ana chama, lakini hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', lakini linapokuja suala la kuchagua kati ya mapenzi binafsi kwa watu na maslahi ya taifa, nitatanguliza mbele maslahi ya taifa!, hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Hivyo kati ya hawa watatu wa mwanzo, kiukweli mimi Paskali, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Paskali

NB. Kutokana na kuwa bize na mambo mengi, sitaweza kuchangia uzi huu, wala kujibu hoja au swali lolote hivyo nitakushukuru kama utasoma tuu bila kuniuliza chochote!.
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana kabisa yametoka moyoni mwake, tofauti na hawa wengine wawili waliyoyatamka yametoka tuu midomoni mwao, hivyo kiukweli kabisa wa nafsi yangu, nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia watatu so far, naamini Mwigulu can make the best president this country has ever had tangu Mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB: To make the best president ni jambo moja, lakini kuchaguliwa na chama kuwa mgombea ni jambo jingine!.

Kati wa watangaza nia hawa watatu, kuna mgombea anayependwa sana na watu na huyu sii mwingine bali ni ni Edward Lowassa, jee ni kwa nini Edward Lowassa anapendwa sana, sababu zinajulikana!, ila kama urais ni kupendwa basi rais wetu ni Lowassa!.

Kuna mgombea ambaye ni the most experieced so far, huyu ni Stephen Wasira, yeye ana uzoefu toka enzi za Nyerere alikuwa mbunge wa CCM, akahama CCM na kuwa mbunge wa upinzani, na kisha kurejea CCM, hivyo kama urais ni uzoefuu, then rais wetu ni Wasira.

Kati ya hawa watangaza nia watatu wa mwanzo wa CCM, Mwigulu Nchemba kwenye aspect ya originality na genuinety, Mwigulu ndio the most real, the most original na the most genuine!.

Mwigulu ameonyesha yuko real and down to earth kwa kuonyesha ametoka familia masikini, sio mtu wa makuu ya kujionyesha ili just to impress people kwa mbwembwe zozote kwenye uzinduzi, set yake ilikuwa simple, ameongelea background yake ya kimasikini na kuthibitisha kuwa yeye ni best brain tangu alikopita mpaka hapa alipo lakini kamwe hajasahau alikotoka!, hivyo huyu ndio mfano halisi wa Mtanzania wa kawaida, anaonyesha anawajua Watanzania, anaijua Tanzania, anawajua Watanzania wanataka nini, na anaijua Tanzania inatakiwa ifanye nini kutoka hapa tulipo twende kwenye the next level!.

Ukiangalia speech za wengine ni za kuandikiwa na mtu akisoma speech ya kwake mwenyewe aliyoiandika mwenyewe, utamjua, mtu akisoma speech aliyoandikiwa kisha aka kremu na kuja kusoma utamjua, na mtu akiandika speech yake mwenyewe na kuisoma mwenyewe, utamjua!, Mwingulu ndio was the most original, amekuja na talking notes tu kama Nyerere na vitu vyote kutoka kichwani!.

Hivyo kwa maoni yangu, so far, ni Mwigulu ndio can make the best president this country can ever had, ila kwa sababu watia nia wanaendelea nitaendelea kuwapatia uchambuzi wangu kidogo kidogo kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa!.

Wakati tukielekea kumpata rais wetu wa 2015, kwa vile CCM ndio chama tawala, hatuwezi kukwepa kuuzungumzia mtindo wa uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM kwa sababu za kihistoria ya hii miaka 50 ya uhuru wetu, mgombea wa CCM ndie rais wa nchi, unless kama mwaka huu historia itabadilika!.

Tukiuchukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu 'anayependwa na watu', mtu 'atakayechagulika' kwa urais kwa lengo la kuwapatia ushindi, na baada ya kumpitisha mbinu nyingine zote safi na chafu hutumika kwa sababu lengo ni ushindi, na ukiishapatikana zile mbinu zilizotumika zinakuwa justified na the end results.

Hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, JK was never the best, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa JK kwa hoja kuwa 'ni mwenzetu' ndiye 'anayependwa na watu', as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!. Matokeo ya kumchagua rais 'mwenzetu' na sifu kuu ni 'kupendwa na watu' ili kukiletea chama ushindi wa kishindo, ndio haya ya kuunda serikali ya kishikaji yenye madudu kibao!, watu wakiboronga ni kuhamishia tuu, kwa sababu ni 'wenzetu', jee kwa 2015 Watanzania wanahitaji rais 'mwenzetu' tena, au this time tunahitaji the best?!.

JF has a role to play kupitia ma great thinkers wa jf, tutangulize mbele maslahi ya taifa kwa kuyaweka pembeni mahaba niue ya wapendwa wetu, na kujitolea kuwaelimisha wananchi wetu nchi hii inahitaji nini na kuongozwa na mtu wa aina gani, ili waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais wa nchi, kama CCM wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini CCM only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, huyu Mwingulu Nchemba sio mtu wa kubezwa hata kidogo, he is a man to keep a close watch seriously, if the best is what we are looking for!.

NB. Kwa walionidhania mimi Paskali, niko kambi fulani, naomba tena kuwathibitishia kuwa Paskali japo ana chama, lakini hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', lakini linapokuja suala la kuchagua kati ya mapenzi binafsi kwa watu na maslahi ya taifa, nitatanguliza mbele maslahi ya taifa!, hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Hivyo kati ya hawa watatu wa mwanzo, kiukweli mimi Paskali, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Paskali

NB. Kutokana na kuwa bize na mambo mengi, sitaweza kuchangia uzi huu, wala kujibu hoja au swali lolote hivyo nitakushukuru kama utasoma tuu bila kuniuliza chochote!.
Kwa maoni yangu wewe ni MBASHIRI na Si MTABIRI maana Mwigulu, sa100 na Mwinyi wote umewabashiria urais.2025
 
Nadhani wanao wanapata tabu Sana, kufumba macho Kila wakisoma mabandiko ya uchawa kama haya
Mkuu MoseKing, ni vile watu humu hatujuani in reality, japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, kuna baadhi ya familia zetu ni very unfortunately hatuzungumzi lugha hii, watoto wetu hawazungumzi Kiswahili, hivyo sijui kama hata jf wanaingia!.
Sisi wengine ni walugaluga na nyumbani kwetu lugha yetu ni kilugaluga tuu!.
P
 
Mkuu Pascal Mayalla naomba status ya hiki as at today baada ya tozo zote za mobile money transactions n zile za Kibenki, is he still in the same status!!?
Mkuu Twilumba , hii sifa ya bonafide genuine bado anayo, ila pia huyu ni wale watu wa kazi mbili mbili!. Ni huyu aliyepewa ile video ya Rwakatare na kuikabidhi kunako!. Hivyo ni mzalendo wa kweli wa taifa hili!.
P
 
Mkuu Twilumba , hii sifa ya bonafide genuine bado anayo, ila pia huyu ni wale watu wa kazi mbili mbili!. Ni huyu aliyepewa ile video ya Rwakatare na kuikabidhi kunako!. Hivyo ni mzalendo wa kweli wa taifa hili!.
P
Je kwa suala la kuja na tozo linamwangusha au linambeba kama mgombea urais?
kuna jamaa anasema akiwekwa Mwingulu na Bakuli yeye anachagua Bakuli!
 
Je kwa suala la kuja na tozo linamwangusha au linambeba kama mgombea urais?
kuna jamaa anasema akiwekwa Mwingulu na Bakuli yeye anachagua Bakuli!
We Twilumba wewe, unakuwa kama huwajui Watanzania!. Ni wepesi wa kulalamika na wepesi wa kusahau, yeyote atakayepitishwa na kile chetu pekee tukipendacho, tunasahau yote!, siku ya siku ikifika ni "unachukua, unaweka waa!."
Hii maana yake kile chetu, kikitupitishia bakuli, Watanzania tunachagua bakuli!.
P
 
Back
Top Bottom