Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Kama ulijua hilo kwa nini hukujitahidi uwe mrefu kama wenzio
 
Huyu jamaa naona kama anaandaliwa fulani kushika nyadhifa za juu..mpaka 2040
Huyu hafai kabisa kuwa raisi. Kwanz ana element za udikteta na pia ana element za kuhisi anajua sana. Yani nchi hii ina kila aina ya utajiri, dhahabu, almasi, chuma, makaa ya mawe, uranium, ruby, tanzanite, natural gas, bahari yenye samaki, bandari, ardhi yenye rutuba, vivutio vingi vya utalii, lakini serikali bado inasema haijui vyanzo vya mapato viko wapi inataka kuwakamua wananchi kujenga nchi.
 
Je Dkt Paskal anaishi Tanzani au na yeye ni diaspora?
 
VIPI KASHAKUPA ELEA YKO MWIGULU YA UWANDISHI..?
 
Daa.
Inauma sana pole sana mkuu.
Nafurahi sana kuona kumbe umejua ina wenyewe.
Hili la CCM ina wenyewe, sio tuu nililijua, Bali pia na kulisemea

P
 
You must be joking! you are not serious! May be you are making fun out of him!! Mbavu zangu!!!!!
 
Nilijua Bro ameirudisha ile CCM ya Nyerere, kumbe CCM ni ile ile, ina wenyewe wenye mikono mirefu.

Baada ya kulijua hilo, nikajitahidi kuurefusha mkono kwa ahad, haikusaidia

P
Ila si ulisema haukutarget ubunge ulitarget jina lako lisogee mbele.

Outta topic.

Job seekers wengi kupitia utumishi hua tunatarget kuvuka written interview kwakua baada ya hiyo jina lako linakua kwenye database so siku usiyoijua waweza shangaa wanakutafuta.
 
Marehemu Magufuli mbona alituambia tuogelee Feri kama hatuna 200 na akachaguliwa kua Rais.

Mimi naona kuambiwa twende Burundi ni kauli yenye same vibe kama ile.

Na kama ushafika Burundi huna chumba bado nikupe namba ya dalali.
 
Mayala anaandaa mazingira just in case!! Huko mbeleni kuandaa mazingira ya uteuzi!! Kwa awamu iliyopita na hii naona ameshakata tamaa !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…