Uchaguzi 2020 Mwigulu must go

Uchaguzi 2020 Mwigulu must go

Kwani tunaishi nyumbani KWAKO?😄😄😄
hahaaahaa nilikua napitia hili kaburi,siasa za bongo ni burudani tosha aisee
Licha ya tozo kubwa kubwa ila
Mkuu nimekupa salute unapambana kufa kupona na hukati tamaa licha ya vijembe na ngebe unazopigwa humu!

Ukiachana na mambo yote wewe ni mpambanaji sana unatetea unachokiamini na hiyo ndio inavyotakiwa katika maisha,

Anyway huwezi kumfurahisha kila mtu katika mambo yako unayofanya japo hata mimi hua nakupiga mawe sometimes ila haitaondoa ukweli wewe ni mpambanaji binafsi!

Aluta continua!
 
Back
Top Bottom