Mwigulu na rasimu ya katiba mpya.

Mwigulu na rasimu ya katiba mpya.

mecy

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2012
Posts
422
Reaction score
58
mchakato wa katiba mpya umeanza vizuri na wananch hakika wanahtaji elimu ya mambo gani ya msingi ktk kuchngia,licha ya kuwepo kwa ugeni wa kuleta elimu juu ya mstakabali wa katiba nzuri kuna huyu ndg yetu Mwigulu nchemba,tena mh, mwenye digri ya uchumi,anapeleka hoja ambazo kwa namna moja akiwa na lengo la kupunguza wananch wasiende kusikiliza hotuba ya dr Slaa ktk viwanja vya Kiomboi,real Mh mwigulu ana fikra za kufifisha maendeleo,ni msomi asiestarabika,msomi mwenye mawazo hasi,sijapata ona mh.asiyekuwa na maono ya kumkomboa mtanzania,
 
ni kweli kati ya wabunge wenye mawazo mafupi ni mwigulu chemba wa iramba,
 
Hapa tunajadili nini?
mchakato wa katiba mpya umeanza vizuri na wananch hakika wanahtaji elimu ya mambo gani ya msingi ktk kuchngia,licha ya kuwepo kwa ugeni wa kuleta elimu juu ya mstakabali wa katiba nzuri kuna huyu ndg yetu Mwigulu nchemba,tena mh, mwenye digri ya uchumi,anapeleka hoja ambazo kwa namna moja akiwa na lengo la kupunguza wananch wasiende kusikiliza hotuba ya dr Slaa ktk viwanja vya Kiomboi,real Mh mwigulu ana fikra za kufifisha maendeleo,ni msomi asiestarabika,msomi mwenye mawazo hasi,sijapata ona mh.asiyekuwa na maono ya kumkomboa mtanzania,
 
mchakato wa katiba mpya umeanza vizuri na wananch hakika wanahtaji elimu ya mambo gani ya msingi ktk kuchngia,licha ya kuwepo kwa ugeni wa kuleta elimu juu ya mstakabali wa katiba nzuri kuna huyu ndg yetu Mwigulu nchemba,tena mh, mwenye digri ya uchumi,anapeleka hoja ambazo kwa namna moja akiwa na lengo la kupunguza wananch wasiende kusikiliza hotuba ya dr Slaa ktk viwanja vya Kiomboi,real Mh mwigulu ana fikra za kufifisha maendeleo,ni msomi asiestarabika,msomi mwenye mawazo hasi,sijapata ona mh.asiyekuwa na maono ya kumkomboa mtanzania,

ukiona hivyo basi ujue hajaelimika.sio msomi
 
Sikuzote nasema jama ni motto...anafanya siasa za kitoto na kishamba.....unaweza kusoma lakini ukakosa exposure....ushamba.....
 
mwigulu ni mshamba na ni limbukeni wa siasa,siasa aiendi kama yeye anavyofanya mfano amuone kinana anavyofanya.Huyu ana elimu ila elimu aliyoipata aijamkomboa,wengi wana elimu kubwa tatizo je hizo elimu walizozipata zimewakomboa? au ndo elimu za kununua vyeti na kupendelewa kama tunavyowaona watoto wa vigogo.
 
Back
Top Bottom