Mwigulu Nchemba acha kutuchonganisha na Rais Samia, umeanza kumshauri vibaya

Mwigulu Nchemba acha kutuchonganisha na Rais Samia, umeanza kumshauri vibaya

Raia tunalipa hasara zilizoletwa na Jiwe... Majigambo
 
Jini 'SAKIZI' limemkumba na Mengi ya ajabu ajabu yanakuja tulieni tu
 
Ukitaka serikali inningize pesa mitaani, ni lazima iwe nazo nyingi sana za kuachia, siyoi za kwenda kuomba nje. Na serikali haiwezi kuacha kutekeleza miradi yake, tunashukuru ilishaanza na haitatekelezwa. Sasa ili serikali ipate hel za miradi na pesa za kumwanga mitaani, ni lazima izikusnaye kwenye kodi.
 
Back
Top Bottom