Ukitaka serikali inningize pesa mitaani, ni lazima iwe nazo nyingi sana za kuachia, siyoi za kwenda kuomba nje. Na serikali haiwezi kuacha kutekeleza miradi yake, tunashukuru ilishaanza na haitatekelezwa. Sasa ili serikali ipate hel za miradi na pesa za kumwanga mitaani, ni lazima izikusnaye kwenye kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.