Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Vumbi limetawala hapo Namfua Stadium.
Misomisondo amefunika ila tatizo vumbi la Singida.
Mwageni maji basi.
Misomisondo amefunika ila tatizo vumbi la Singida.
Mwageni maji basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimehojiSema hivi pisi za Singida tunazoambiwa ndio hizi naziona hapa au Kuna zingine
Timu yenu pia hiyo vyura. Mchezaji wa Chura kupelekwa kule ni kama wewe kuambiwa leo ulale stoo umuachie chumba mgeniDj Laptop yake imeishiwa chaji wenzake wanampa nyingine huku baadhi ya watu wakionekana wanaunga extension mbele ya camera za azam
Mazibgira yanatisha sijui Guede atajisikiaje? Akiona wenzake akina Pacome na Ki kule Dar wanavyowaka atapata stress sanaa
Hilo ni zizi sio uwanja hapo VAR itakaa wapi sasa
Inafikirisha kidogoHata mimi nimehoji
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣, mguu sasa.Sema hivi pisi za Singida tunazoambiwa ndio hizi naziona hapa au Kuna zingine
Miguu hazinaHahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣, miguu sasa.
Mtag mkuu ,Vumbi limetawala hapo Namfua Stadium.
Misomisondo amefunika ila tatizo vumbi la Singida.
Mwageni maji basi.
Yumo humu 24/7Mtag mkuu ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dj Laptop yake imeishiwa chaji wenzake wanampa nyingine huku baadhi ya watu wakionekana wanaunga extension mbele ya camera za azam
Mazibgira yanatisha sijui Guede atajisikiaje? Akiona wenzake akina Pacome na Ki kule Dar wanavyowaka atapata stress sanaa
Hilo ni zizi sio uwanja hapo VAR itakaa wapi sasa
Hahaha una uhakika lakini mkuuYumo humu 24/7
Na poda zinawaka hatariHahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣, mguu sasa.