Mwigulu Nchemba, bingwa wa uchumi ever seen here in Tanzania

Mwigulu Nchemba, bingwa wa uchumi ever seen here in Tanzania

Huyo Rweyemamu aliiwaza Tanzania ya miaka 1000 mbele yake tatizo aliokuwa akiwaeleza hawakumuelewa.
Sasa nashangaa watoto wanavyosema Mwigulu Nchemba ni bingwa wa uchumi ever seen here in Tanzania!
 
Huyo ni bora kwenye kukopa na kulitukanisha bunge kwamba pamejaa wajadili matunguli
 
Huyu jamaa ni msomi na mahiri mno wa uchumi ndo mana huwezi kukuta anakosolewa na prof yeyote wa uchumi mana wanamuogopa sana. Maprof wengi waliunga unga lakini mwinguru straight kutoka mzumbe na alipiga first class udsm wakati maprof wengi hawana hii. Prof kama semboja degree yake ya kwanza ni ualimu yaani B.A with education kwa hiyo siyo mchumi real.

Mwigulu hakupenda tu kufundisha udsm lakini angependa angekuwa lecturer achana na akina zitto wenye 2.7 GPA halafu wanajiita wachumi. Kipindi cha nyuma zitto alikuwa anawachachafya sana mawazili wa fedha kwa vi theories vyake lakini Sasa hivi amekutana na mwamba haoni pa kukosoa na akikosoa tu mwigulu atamshukia kama mwewe.
Hujielewi ndugu yangu ila naamin kuna siku MUNGU atakusaidia utajielewa.
 
Back
Top Bottom