Mwigulu Nchemba, bingwa wa uchumi ever seen here in Tanzania

Huyo Rweyemamu aliiwaza Tanzania ya miaka 1000 mbele yake tatizo aliokuwa akiwaeleza hawakumuelewa.
Sasa nashangaa watoto wanavyosema Mwigulu Nchemba ni bingwa wa uchumi ever seen here in Tanzania!
 
Huyo ni bora kwenye kukopa na kulitukanisha bunge kwamba pamejaa wajadili matunguli
 
Hujielewi ndugu yangu ila naamin kuna siku MUNGU atakusaidia utajielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…