Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba leo ameongelea deni la Taifa. Amesema deni la Taifa sio kama fedha ya kwenye ATM ambayo unaingiza kadi na kutoa.
Mwigulu anasema anayekopa sio Rais bali Serikali na yeye amesaini kulipa deni lilikopwa awamu ya kwanza wakati hajazaliwa.
Mwigulu amesema kuna mikopo imesainiwa zamani lakini pesa zake zinatoka kwa awamu hivyo kadri inavyopokelewa ndivyo deni linatangazwa upya.
Mwigulu anasema anayekopa sio Rais bali Serikali na yeye amesaini kulipa deni lilikopwa awamu ya kwanza wakati hajazaliwa.
Mwigulu amesema kuna mikopo imesainiwa zamani lakini pesa zake zinatoka kwa awamu hivyo kadri inavyopokelewa ndivyo deni linatangazwa upya.