Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
“Ukweli usemwe, ushindi wa bao tano dhidi ya mtani si kila timu inaweza. Hii ndo Yanga ya Dkt Samia, Tupewe maua yetu, na huu ndio mwendo wetu mpya. Hongereni sana Wananchi kwa ushindi wa kishindo dhidi ya mtani.” Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba.