Mwigulu Nchemba hujaajiriwa na mitandao, majibu yao kwako yanadhalilisha nafasi yako ya Uwaziri. Kaa kimya...

Jobless people wapo lumumba acha kudhihaki watu, punguani waheed wewe!
 
Wewe mhaya kimekuwasha vizuri sn
Nini kimeniwasha? Na kama ilivyo kawaida kwa zezeta tayari umerukia kunitaja kuwa mhaya bila uthibitisho wowote. Pinga hoja kama waweza wewe kilaza. Kama ni dharau hakuna dharau zaidi ya kumuita Madelu, mtu wa hovyo sana!
 
Hivi yale matangazo ya kwenye mawe nchi nzima alilipia ?
 
Sura ya Mwigulu Nchemba ina kinzana sana na tabia yake. Zamani nilikuwa na mheshimu sana lakini siku za hivi karibuni anatoa majibu ya kijeuri na kiburi kikubwa bila kutumia hata brain. Ushabiki na tabia ya kulamba viatu inaweza ikufanye uonekane kituko. Mwigulu kwa kweli is desparate. Sometime angenyamaza maana isingemgharimu chochote maana kuna neno linasema A SILENT FOOL IS COUNTED WISE"
 
Nini kimeniwasha? Na kama ilivyo kawaida kwa zezeta tayari umerukia kunitaja kuwa mhaya bila uthibitisho wowote. Pinga hoja kama waweza wewe kilaza. Kama ni dharau hakuna dharau zaidi ya kumuita Madelu, mtu wa hovyo sana!
Tulia sumu iingie vizuri
 
Kwanza akiwa anajibu hoja..mitandaoni ana jibu utumbo. Propaganda tupu hana tofauti na yule M/kiti wa CCM MKOA wa MARA. Akiwa ana jibu hoja Bungeni ana jibu utumbo tu. Hajibu kama Profession ya Waziri wa Katiba na Sheria inavyotaka (Neutral and stick to the Law).

Kazi ipo!
 
Ana Mtindio wa Ubongo basi tu kachangamka
 
cheo gani kidogo ndo kinapaswa kujibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…