Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
We mgeni na huyo mtu, amenishukuru kabisa halafu kaniambia nikaushe.Lucas Mwashambwa kasema hajaona muamala
Kenya na Zambia ni mufilisi Kwa mujibu wa Taasisi za Fedha za DuniaAcha uongo wako hapa
Lucas mwenyewe leo haongei anacheka tu, sijui yupo na mkeweWe mgeni na huyo mtu, amenishukuru kabisa halafu kaniambia nikaushe.
π€£π€£π€£π€£π€£ Tzn tunakopa na kulipa hatusubirii kusamehewa π€ͺπ€ͺWaliambiwa Mikopo ikizidi Wazungu wanasamehe πππ
Ruto alikuwa bado anaamini huo msamiati wa EPA
Kapokea muamala kasema anaenda kutoa loki kwanza. Ila mimi sijaoa bado.Lucas mwenyewe leo haongei anacheka tu, sijui yupo na mkewe
Miamala yangu inatokana na shambaniLucas Mwashambwa kasema hajaona muamala
Sema miaka 40 Ijayo Mikopo ya Kitila ikiiva watalipa Wajukuu zetu akina Junior ππππ€£π€£π€£π€£π€£ Tzn tunakopa na kulipa hatusubirii kusamehewa π€ͺπ€ͺ
Yaani unaruka hujapokea basi nirudishie kiteni changu tena kilikua cha ngama.Miamala yangu inatokana na shambani
Sasa huyu CHIEF PRIEST mbona anasema katuma muamala wa 10k?Miamala yangu inatokana na shambani
Lakini na sisi tunalipa ya zamani, Uchumi wa Nchi utakuwa mkubwa hakuna shidaSema miaka 40 Ijayo Mikopo ya Kitila ikiiva watalipa Wajukuu zetu akina Junior πππ
Ni 10k tu tena ilikuwa ya ngama.Sasa huyu CHIEF PRIEST mbona anasema katuma muamala wa 10k?
Kwani wewe hufahamu huyo ni mgonjwaππ unaweza kuta hapo tayari amepoteza kumbukumbu.ukimuuliza baadaye alisema nini utakuta ameshasahau.Sasa huyu CHIEF PRIEST mbona anasema katuma muamala wa 10k?
Sisi tunalipa deni linalotokana na shilling kushuka Thamani ile Principal akina Junior wataikuta iko pale pale πππLakini na sisi tunalipa ya zamani, Uchumi wa Nchi utakuwa mkubwa hakuna shida
Acha usaniiNi 10k tu tena ilikuwa ya ngama.
Nimeona hayupo sawaKwani wewe hufahamu huyo ni mgonjwaππ unaweza kuta hapo tayari amepoteza kumbukumbu.ukimuuliza baadaye alisema nini utakuta ameshasahau.
Luka amepokea,ila mimi bado sijaoa achana naye mke wake anaweza akakutupia jini ukapata wazimu buree.Acha usanii
Nimeona hayupo sawa