Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amesema tunakoelekea bidhaa zinaenda kushuka bei kwasababu zilipanda kuitikia kupanda kwa bei ya mafuta. Mwigulu amesema mafuta yamepungua kwa zaidi ya Tshs 400.
Mwigulu anaamini kwa jitihada za Rais Samia kuweka bilioni 100 kila mwezi itazidi kupunguza bei ya mafuta. Ametoa rai kwa watanzania, bidhaa walizoona zimepanda bei zitashuka kwasababu gharama za usafirishaji zitashuka.
Mwigulu anaamini kwa jitihada za Rais Samia kuweka bilioni 100 kila mwezi itazidi kupunguza bei ya mafuta. Ametoa rai kwa watanzania, bidhaa walizoona zimepanda bei zitashuka kwasababu gharama za usafirishaji zitashuka.