Haijawahi kutokea kwa Tanzania bei zipande halafu zishuke. Huu ni uzushi labda zibaki constant.Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amesema tunakoelekea bidhaa zinaenda kushuka bei kwasababu zilipanda kuitikia kupanda kwa bei ya mafuta. Mwigulu amesema mafuta yamepungua kwa zaidi ya Tshs 400.
Mwigulu anaamini kwa jitihada za Rais Samia kuweka bilioni 100 kila mwezi itazidi kupunguza bei ya mafuta. Ametoa rai kwa watanzania, bidhaa walizoona zimepanda bei zitashuka kwasababu gharama za usafirishaji zitashuka.
Jambo hili ni Kweli Hasa Kwa bidhaa za viwandani Huwa hazishuki.haijawahi kutokea kwa tz bei zipande halafu zishuke.huu ni uzushi labda zibaki constant.
Msaidizi wa shaka kwenye PROPAGANDA ndo nafasi ambayo inamfaa sana Mwigu,Hivi to be honest,Mwigulu amaewahi ku-practice wapi taaluma yake ya Uchumi?Katoka Jalalani University akaingia Benki kuu kidogo akapewa Jimbo.Sasa mtu kama uyo ana hadhi ya kuwa Waziri wa fedha?
Hili linawezekana tu, kwenye Taifa la wajinga!!
Huyu hana hadhi anayopewa,uyu alipaswa awe msaidizi wa Shaka kwenye propaganda.
Waziri wa fedha ni mtu mkubwa sana, wenzetu wanaweka watu wenye experience za kutosha na ambao wame-practice taaluma zao kabla ya kuingia kwenye siasa,Ila Tanzania ukijua tu kumsifu Mwenyekiti na kuongea uwongo basi wewe ni mtu wa maana!!
Kampeni za urais wa Bnd?Kampeni zake za Uraisi naona anazipiga vizuri.
Bado anaongoza kwa majaribioWaziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amesema tunakoelekea bidhaa zinaenda kushuka bei kwasababu zilipanda kuitikia kupanda kwa bei ya mafuta. Mwigulu amesema mafuta yamepungua kwa zaidi ya Tshs 400.
Mwigulu anaamini kwa jitihada za Rais Samia kuweka bilioni 100 kila mwezi itazidi kupunguza bei ya mafuta. Ametoa rai kwa watanzania, bidhaa walizoona zimepanda bei zitashuka kwasababu gharama za usafirishaji zitashuka.
Aisee!Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amesema tunakoelekea bidhaa zinaenda kushuka bei kwasababu zilipanda kuitikia kupanda kwa bei ya mafuta. Mwigulu amesema mafuta yamepungua kwa zaidi ya Tshs 400.
Mwigulu anaamini kwa jitihada za Rais Samia kuweka bilioni 100 kila mwezi itazidi kupunguza bei ya mafuta. Ametoa rai kwa watanzania, bidhaa walizoona zimepanda bei zitashuka kwasababu gharama za usafirishaji zitashuka.