Mwigulu Nchemba na BoT, mnashindwaje kuwabaini wanaokopesha mitandaoni(digital lending) wakati wanatumia menu za mitandao ya simu kulipwa hela zao?

Mwigulu Nchemba na BoT, mnashindwaje kuwabaini wanaokopesha mitandaoni(digital lending) wakati wanatumia menu za mitandao ya simu kulipwa hela zao?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo umiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BoT) la tarehe 13/05/2024 linalopiga marufuku kufanya biashara ya kukopesha mitandaoni bila kuwa na leseni, nimebaki kushangaa na kujiuliza inawzekana vipi biashara hii inafanywa kupitia menu za makampuni ya simu halafu mamlaka husika zinashindwa kuwabaini hawa wahalifu?

Nilitegemea changamoto iwe ni kusimamia sheria kwenye ku-deal na taasisi na watu binafsi wanaofanya hii biashara kwa kificho huku mitaani lakini sio haya makampuni ya mitandaoni yenye kutumia application zao mitandaoni kutoa mikopo na kulipwa madeni yao kupitia menu za makampuni ya simu tena bila kificho.

Kama kweli Mwigulu na BoT wako serious, basi kwa kushirkiana na Jeshi la Polisi, wangeanza na makampuni ya simu katika kuwabaini wahusika wa hii biashara kwani kupitia menu za mitando ya simu(Mpesa, tigo pesa na Airtel Money), makampuni haya hulipwa na wateja wao na hata app za baadhi ya haya makampuni zimetangaza option mbalimbali za kuwalipa ikiwemo kupitia huduma hizo za Mpesa, tigo pesa na Airtel Money.

Sasa ndio najiuliza, wanashindwaje kuanza na haya makampuni ya simu kuwasaka hawa watu?

Sometimes napata wasiwasi huenda hii biashara ni ya vigogo huko serikalini na ndio maana kuna kigugumizi cha kuchukua hatua.

Tuna safari ndefu sana watanzania katika kuitafuta nchi ya ahadi.

 
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo uumiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BOT) la tarehe 13/05/2024 linalopiga marufuku kufanya biashara ya kukopesha mitandaoni bila kuwa na leseni, nimebaki kushangaa na kujiuliza inawzekana vipi biashara hii inafanywa kupitia menu za makampuni ya simu halafu mamlaka husika zinashindwa kuwabaini hawa wahalifu?

Nilitegemea changamoto iwe ni kusimamia sheria kwenye ku-deal na taasisi na watu binafsi wanaofanya hii biashara kwa kificho huku mitaani lakini sio haya makampuni ya mitandaoni yenye kutumia application zao mitandaoni kutoa mikopo na kulipwa madeni yao kupitia menu za makampuni ya simu tena bila kificho.

Kama kweli Mwigulu na BOT wako serious, basi kwa kushirkiana na Jeshi la Polisi, wangeanza na makampuni ya simu katika kuwabaini wahusika wa hii biashara kwani kupitia menu za mitando ya simu(Mpesa, tigo pesa na Airtel Money), makampuni haya hulipwa na wateja wao na hata app za baadhi ya haya makampuni zimetangaza option mbalimbali za kuwalipa ikiwemo kupitia huduma hizo za Mpesa, tigo pesa na Airtel Money.

Sasa ndio najiuliza, wanashindwaje kuanza na haya makampuni ya simu kuwasaka hawa watu?

Sometimes napata wasiwasi huenda hii biashara ni ya vigogo huko serikalini na ndio maana kuna kigugumizi cha kuchukua hatua.

Tuna safari ndefu sana watanzania katika kuitafuta nchi ya ahadi.

Wanawajua,ni Utapeli na wengine ni biashara zao wanashirikiana na mitandao.

Ni kama wale matapeli wa siku wanakula na Polisi na watu wa TCRA
 
Hakuna eneo wananchi wanapigwa kama hili, mobile loan ni tatizo kubwa Tanzania na halina weledi kabisa .. Imagine mtu anakopewa pesa kiduchu riba lundo ! Wakopaji wanafedheheshwa, wanazalilishwa, wananyanyasika .. Serikali ikomeshe huu wizi, sauti zaidi zipazwe. USTAWI LOANS Mr. Finance wanaongoza kuzalilisha watanzania kupitia hii mikopo haramu.
 
Hakuna eneo wananchi wanapigwa kama hili, mobile loan ni tatizo kubwa Tanzania na halina weledi kabisa .. Imagine mtu anakopewa pesa kiduchu riba lundo ! Wakopaji wanafedheheshwa, wanazalilishwa, wananyanyasika .. Serikali ikomeshe huu wizi, sauti zaidi zipazwe. USTAWI LOANS Mr. Finance wanaongoza kuzalilisha watanzania kupitia hii mikopo haramu.
Hili jambo halina nsukumo kabisa. Labda mpaka siku litokee tatizo kubwa au wapinzani walishikie bango ndio serikali itashituka.
 
Hakuna eneo wananchi wanapigwa kama hili, mobile loan ni tatizo kubwa Tanzania na halina weledi kabisa .. Imagine mtu anakopewa pesa kiduchu riba lundo ! Wakopaji wanafedheheshwa, wanazalilishwa, wananyanyasika .. Serikali ikomeshe huu wizi, sauti zaidi zipazwe. USTAWI LOANS Mr. Finance wanaongoza kuzalilisha watanzania kupitia hii mikopo haramu.
Kabisa, wenye mamlaka wamejisahau kwenye hili.
 
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo umiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BoT) la tarehe 13/05/2024 linalopiga marufuku kufanya biashara ya kukopesha mitandaoni bila kuwa na leseni, nimebaki kushangaa na kujiuliza inawzekana vipi biashara hii inafanywa kupitia menu za makampuni ya simu halafu mamlaka husika zinashindwa kuwabaini hawa wahalifu?

Nilitegemea changamoto iwe ni kusimamia sheria kwenye ku-deal na taasisi na watu binafsi wanaofanya hii biashara kwa kificho huku mitaani lakini sio haya makampuni ya mitandaoni yenye kutumia application zao mitandaoni kutoa mikopo na kulipwa madeni yao kupitia menu za makampuni ya simu tena bila kificho.

Kama kweli Mwigulu na BoT wako serious, basi kwa kushirkiana na Jeshi la Polisi, wangeanza na makampuni ya simu katika kuwabaini wahusika wa hii biashara kwani kupitia menu za mitando ya simu(Mpesa, tigo pesa na Airtel Money), makampuni haya hulipwa na wateja wao na hata app za baadhi ya haya makampuni zimetangaza option mbalimbali za kuwalipa ikiwemo kupitia huduma hizo za Mpesa, tigo pesa na Airtel Money.

Sasa ndio najiuliza, wanashindwaje kuanza na haya makampuni ya simu kuwasaka hawa watu?

Sometimes napata wasiwasi huenda hii biashara ni ya vigogo huko serikalini na ndio maana kuna kigugumizi cha kuchukua hatua.

Tuna safari ndefu sana watanzania katika kuitafuta nchi ya ahadi.

Ni biashara za wenyewe kama ilivyoile ya wese,hivyo mshikamano ni jinsi ya kujinufaisha na sii jinsi ya kufanya biashara ya haki😆
 
Hakuna eneo wananchi wanapigwa kama hili, mobile loan ni tatizo kubwa Tanzania na halina weledi kabisa .. Imagine mtu anakopewa pesa kiduchu riba lundo ! Wakopaji wanafedheheshwa, wanazalilishwa, wananyanyasika .. Serikali ikomeshe huu wizi, sauti zaidi zipazwe. USTAWI LOANS Mr. Finance wanaongoza kuzalilisha watanzania kupitia hii mikopo haramu.
Kwani wanalazimishwa kukopa?
 
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo umiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BoT) la tarehe 13/05/2024 linalopiga marufuku kufanya biashara ya kukopesha mitandaoni bila kuwa na leseni, nimebaki kushangaa na kujiuliza inawzekana vipi biashara hii inafanywa kupitia menu za makampuni ya simu halafu mamlaka husika zinashindwa kuwabaini hawa wahalifu?

Nilitegemea changamoto iwe ni kusimamia sheria kwenye ku-deal na taasisi na watu binafsi wanaofanya hii biashara kwa kificho huku mitaani lakini sio haya makampuni ya mitandaoni yenye kutumia application zao mitandaoni kutoa mikopo na kulipwa madeni yao kupitia menu za makampuni ya simu tena bila kificho.

Kama kweli Mwigulu na BoT wako serious, basi kwa kushirkiana na Jeshi la Polisi, wangeanza na makampuni ya simu katika kuwabaini wahusika wa hii biashara kwani kupitia menu za mitando ya simu(Mpesa, tigo pesa na Airtel Money), makampuni haya hulipwa na wateja wao na hata app za baadhi ya haya makampuni zimetangaza option mbalimbali za kuwalipa ikiwemo kupitia huduma hizo za Mpesa, tigo pesa na Airtel Money.

Sasa ndio najiuliza, wanashindwaje kuanza na haya makampuni ya simu kuwasaka hawa watu?

Sometimes napata wasiwasi huenda hii biashara ni ya vigogo huko serikalini na ndio maana kuna kigugumizi cha kuchukua hatua.

Tuna safari ndefu sana watanzania katika kuitafuta nchi ya ahadi.

watagunduaje wakati wao bado ni fofofo kwenye mambo ya IT na programming zake? Hizo PhD zao ni za uchumi, ukiwapeleka kwenye masuala ya IT au kisheria ni zero brain ingawaje watajitutumua tu waonekane nao zimo, lakini ni kuwaonea tu.
 
Kwani wanalazimishwa kukopa?
Unajua upuuzi wanaofanya hawa watu?

Wanawakopesha kwa siku 7, halafu ikifika siku ya 5 wanaanza kuwadai tena kwa kutumia vitisho na ukichelewa kulipa hata kwa siku 1 au 2 taarifa zako wanazisambqza mitandaoni.

Acheni kutetea hawa wahuni.
 
Ukifuatilia baadhi ya mambo utagundua nchi hii hatuna viongozi kabisa bali kuna kundi la watu wenye kutafta maslahi yao karibu secta zote kwa kiufupi hakuna kitu
 
Nape msituifanye watanzania wajinga, kama mko serious, kwanini msianze na hii mitandao ya simu kubwabaini hao wewnye haya makampuni?

Majibu yako kwa Spika ni unafiki mtupu.
 
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo umiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BoT) la tarehe 13/05/2024 linalopiga marufuku kufanya biashara ya kukopesha mitandaoni bila kuwa na leseni, nimebaki kushangaa na kujiuliza inawzekana vipi biashara hii inafanywa kupitia menu za makampuni ya simu halafu mamlaka husika zinashindwa kuwabaini hawa wahalifu?

Nilitegemea changamoto iwe ni kusimamia sheria kwenye ku-deal na taasisi na watu binafsi wanaofanya hii biashara kwa kificho huku mitaani lakini sio haya makampuni ya mitandaoni yenye kutumia application zao mitandaoni kutoa mikopo na kulipwa madeni yao kupitia menu za makampuni ya simu tena bila kificho.

Kama kweli Mwigulu na BoT wako serious, basi kwa kushirkiana na Jeshi la Polisi, wangeanza na makampuni ya simu katika kuwabaini wahusika wa hii biashara kwani kupitia menu za mitando ya simu(Mpesa, tigo pesa na Airtel Money), makampuni haya hulipwa na wateja wao na hata app za baadhi ya haya makampuni zimetangaza option mbalimbali za kuwalipa ikiwemo kupitia huduma hizo za Mpesa, tigo pesa na Airtel Money.

Sasa ndio najiuliza, wanashindwaje kuanza na haya makampuni ya simu kuwasaka hawa watu?

Sometimes napata wasiwasi huenda hii biashara ni ya vigogo huko serikalini na ndio maana kuna kigugumizi cha kuchukua hatua.

Tuna safari ndefu sana watanzania katika kuitafuta nchi ya ahadi.

Maskini mna nongwa sana..punguzen wivu,,hatuwez wote kuwa matajiri..lazima wengine tuwakopeshe na nyie mkope ndio Dunia inazunguka hvo!!!

Hao b.o.t wametupa leseni ila riba soko linaamua..polen na endeleeni kupiga kelele!!
 
Back
Top Bottom