Mwigulu Nchemba na BoT, mnashindwaje kuwabaini wanaokopesha mitandaoni(digital lending) wakati wanatumia menu za mitandao ya simu kulipwa hela zao?

Mwigulu Nchemba na BoT, mnashindwaje kuwabaini wanaokopesha mitandaoni(digital lending) wakati wanatumia menu za mitandao ya simu kulipwa hela zao?

Utadhani hakuna serikali. BOT, TCRA na ile Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) kazi yao ni kutoa matamko tu ila hakuna cha maana wanachofanya.
Utataja vitengo vyote vinavyohusika na mikopo but hakuna atayehusika na upumbavu wako...jipambanie mwenyewe kwa kutokopa sio kusubiri wanaume wenzako wakusaidie!!
 
Nape msituifanye watanzania wajinga, kama mko serious, kwanini msianze na hii mitandao ya simu kubwabaini hao wewnye haya makampuni?

Majibu yako kwa Spika ni unafiki mtupu.
Ni wajinga ndio.. ndio maana mnakopeshwa pesa,,hamna balance za kujikimu wenyewe na matatizo yenu...hata riba zikipunguzwa mtaendelea kuwa watumwa wetu tu hadi mfe..

Hao b.o.t waweke interest 0.00001 kwa mwaka bado tutawakopesha tuu na mtakopa sabb hamna akili..
 
Unajua upuuzi wanaofanya hawa watu?

Wanawakopesha kwa siku 7, halafu ikifika siku ya 5 wanaanza kuwadai tena kwa kutumia vitisho na ukichelewa kulipa hata kwa siku 1 au 2 taarifa zako wanazisambqza mitandaoni.

Acheni kutetea hawa wahuni.
Acha kukopa hujalazimishwa... matatizo Yako na shida zako ndio zinakupeleka uko!!
 
Waziri wa mawasiliano nape juzi nae anaulizwa na spika hawajui , hawajaamua tu kuwajua tu TCRA ,BOT, wizara ya fedha aah sio kweli
 
Hiii biashara ina siri kubwa..Ni pesa zinatakatishwa tu na wenyenazo ndio haohao.
 
Back
Top Bottom