Tetesi: Mwigulu Nchemba na Januari Makamba wakutana kikao cha dharura baada ya Bunge kutoa mwongozo wa Luhaga Mpina

Tetesi: Mwigulu Nchemba na Januari Makamba wakutana kikao cha dharura baada ya Bunge kutoa mwongozo wa Luhaga Mpina

Kuna watu wapumbavu, yaani mtu smart makamba na mwamba jasiri mwigulu wakae kumjadili mpina?!!!!!! Acheni siasa zenu za kijinga hizo......kibongobongo hao wameshatoboa na hamuwafikii hata muwachafue vp
Mwamba ni nani? Hao vilaza ndo unawaita mwamba? Wewe ni kichwa maji mkubwa! Hivi unajua hata elimu ya Luhaga Mpina alisomea wapi unadhani ni kilaza kama wewe?
 
KUNA tetesi kuwa baada ya Spika wa Bunge leo 28/6/2023 kumtangaza bungeni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwa alikuwa sahihi kuhusu kutotekelezwa kwa maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Mawaziri Mwigulu Nchemba na Januari Makamba wamekutana kwa kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Spika.

Inasemekana kuwa wawili hao kwa muda mrefu walitumia nafasi zao kuzihadaa mamlaka za Chama na Serikali kuwa Mpina amekuwa akisema uongo kwa lengo la kuichafua Serikali ya Rais Samia jambo ambalo Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson amekata mzizi wa fitna kwa kuweka wazi.

Hivyo kwa sasa wanahaha watakwenda kusema nini kuhusu Mpina ilihali walishaziaminisha mamlaka kuwa Mpina ni mpingaji wa Serikali ya Rais Samia.






Majizi
 
Na huwenda ugumu wa yoye yanayoipata hii serikali, ni kwa sababu ya mawaziri hao wawili,

Ni empty kabisa hao basi tu
Hayo magumu na uhusiano wao nayo ni yapi? Yataje tafadhali ili tuwahukumu kwa haki.
 
KUNA tetesi kuwa baada ya Spika wa Bunge leo 28/6/2023 kumtangaza bungeni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwa alikuwa sahihi kuhusu kutotekelezwa kwa maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Mawaziri Mwigulu Nchemba na Januari Makamba wamekutana kwa kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Spika.

Inasemekana kuwa wawili hao kwa muda mrefu walitumia nafasi zao kuzihadaa mamlaka za Chama na Serikali kuwa Mpina amekuwa akisema uongo kwa lengo la kuichafua Serikali ya Rais Samia jambo ambalo Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson amekata mzizi wa fitna kwa kuweka wazi.

Hivyo kwa sasa wanahaha watakwenda kusema nini kuhusu Mpina ilihali walishaziaminisha mamlaka kuwa Mpina ni mpingaji wa Serikali ya Rais Samia.







Hizi habari za kubumba kama hizi zinaungwa mkono na wajinga wengi sana hicho kikao agenda zake ni zipi nawewe ulikua wapi mda huo wanakutana maeneo gani na walizungumza kitu gani ?

Unadhani ungeandika juu ya baba yako labda kwamba hakukusomesha usingepata wa kukuunga mkono

Maana ujinga unaonekana kichwani mwako wakumlaumu ni mzazi wako pekee !!

Hukusikia majibu ya Mh Mwigulu juu ya Mpina alikua anamshauri tu ulisikia wapi zaidi ya Bungeni ambapo Mwigulu ndipo alipomjibu Mpina ?

Anahofu nini Mpina kwa Mwigulu au Sukuma gege wanaogopa nini kutoka kwa Mwigulu ?

Wenye mvuto siku zote huwa mada kama hivi Mwigulu Nchemba mtatafuta tu namna lazima mumzungumzie .
 
Back
Top Bottom