Kwanini Mh. Rais akubali kudanganywa, kwamba Rai's hana akili? Acheni kumdhalilisha Rais.Mwisho wao kisiasa umefika. njia ya muongo ni fupi sana leo watamdanganya nini tena Mh. Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Mh. Rais akubali kudanganywa, kwamba Rai's hana akili? Acheni kumdhalilisha Rais.Mwisho wao kisiasa umefika. njia ya muongo ni fupi sana leo watamdanganya nini tena Mh. Rais
We ndio wa kwanza kusema ni maaduiHawa wanadaiwa ni maadui ...lakini kila picha wanacheka pamoja
Uliwahi kuwaona JK na Luwassa wamenuniana?Hawa wanadaiwa ni maadui ...lakini kila picha wanacheka pamoja
Wanasiasa wa Tanzania umewafahamu leo?Hawa wanadaiwa ni maadui ...lakini kila picha wanacheka pamoja
Mwamba ni nani? Hao vilaza ndo unawaita mwamba? Wewe ni kichwa maji mkubwa! Hivi unajua hata elimu ya Luhaga Mpina alisomea wapi unadhani ni kilaza kama wewe?Kuna watu wapumbavu, yaani mtu smart makamba na mwamba jasiri mwigulu wakae kumjadili mpina?!!!!!! Acheni siasa zenu za kijinga hizo......kibongobongo hao wameshatoboa na hamuwafikii hata muwachafue vp
KUNA tetesi kuwa baada ya Spika wa Bunge leo 28/6/2023 kumtangaza bungeni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwa alikuwa sahihi kuhusu kutotekelezwa kwa maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Mawaziri Mwigulu Nchemba na Januari Makamba wamekutana kwa kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Spika.
Inasemekana kuwa wawili hao kwa muda mrefu walitumia nafasi zao kuzihadaa mamlaka za Chama na Serikali kuwa Mpina amekuwa akisema uongo kwa lengo la kuichafua Serikali ya Rais Samia jambo ambalo Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson amekata mzizi wa fitna kwa kuweka wazi.
Hivyo kwa sasa wanahaha watakwenda kusema nini kuhusu Mpina ilihali walishaziaminisha mamlaka kuwa Mpina ni mpingaji wa Serikali ya Rais Samia.
Wajinga tu.Mwigulu na Makamba kuwa ni mawaziri vijana!! Labda sababu ya kuitwa hivyo ndio maana bado hawakui.
Kuna sababu zozote za kununa ukiwa kwenye picha?Hawa wanadaiwa ni maadui ...lakini kila picha wanacheka pamoja
Hayo magumu na uhusiano wao nayo ni yapi? Yataje tafadhali ili tuwahukumu kwa haki.Na huwenda ugumu wa yoye yanayoipata hii serikali, ni kwa sababu ya mawaziri hao wawili,
Ni empty kabisa hao basi tu
wewe ndio ungesema hayuko sahihi kwenye jambo gani?Sema Luhaga alikua sahihi kwa jambo gani?
KUNA tetesi kuwa baada ya Spika wa Bunge leo 28/6/2023 kumtangaza bungeni Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwa alikuwa sahihi kuhusu kutotekelezwa kwa maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Mawaziri Mwigulu Nchemba na Januari Makamba wamekutana kwa kikao cha dharura kujadili uamuzi huo wa Spika.
Inasemekana kuwa wawili hao kwa muda mrefu walitumia nafasi zao kuzihadaa mamlaka za Chama na Serikali kuwa Mpina amekuwa akisema uongo kwa lengo la kuichafua Serikali ya Rais Samia jambo ambalo Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson amekata mzizi wa fitna kwa kuweka wazi.
Hivyo kwa sasa wanahaha watakwenda kusema nini kuhusu Mpina ilihali walishaziaminisha mamlaka kuwa Mpina ni mpingaji wa Serikali ya Rais Samia.