Ikulu wametoa taarifa kwa umma juu ya utenguzi wa baadhi ya viongozi kwenye baadhi ya taasisi za Serikali ikiwamo Posta na TTCL kwa viongozi wake wakuu na bodi kuvunjwa
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava