Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Mwigulu alikufanya nini?Dah siku iyo ntafurahi sana....ntakesha bar nikinunulia watu bia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu alikufanya nini?Dah siku iyo ntafurahi sana....ntakesha bar nikinunulia watu bia
Hilo neno yamkini limeua thread yako yote so relax mjomba.Ikulu wametoa taarifa kwa umma juu ya utenguzi wa baadhi ya viongozi kwenye baadhi ya taasisi za Serikali ikiwamo Posta na TTCL kwa viongozi wake wakuu na bodi kuvunjwa
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava
Ubaya Ubwela, hahaaaa......................Ikulu wametoa taarifa kwa umma juu ya utenguzi wa baadhi ya viongozi kwenye baadhi ya taasisi za Serikali ikiwamo Posta na TTCL kwa viongozi wake wakuu na bodi kuvunjwa
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava
Mama ata mtoa Mwigulu hapo Gz watakapo mzuia kuingia Magogoni.Ikulu wametoa taarifa kwa umma juu ya utenguzi wa baadhi ya viongozi kwenye baadhi ya taasisi za Serikali ikiwamo Posta na TTCL kwa viongozi wake wakuu na bodi kuvunjwa
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava
Wamefanya kosa kubwa sana la utovu wa nidhamu dhidi ya Mkuu wa Nchi na kiongozi mpya aliyeteuliwa kuwa boss wao. Walitakiwa kumpongeza kiongozi mpya aliyeteuliwa kuwa bosi wao na kuahidi kumpa ushirikiano na siyo kumpongeza kiongozi aliyetumbuliwa na kiongozi mkuu wa nchi. wao walijuaje kama uongozi wake ulitukuka wakati Mkuu wa nchi kaona amepwaya.Mama anasambaza chuki. Hao viongozi wa mawasiliano wamefanya kosa gani?
Vijana hao wa Mzumbe wachawi au machawa?Mama Samia Suluhu Hassan. Mteue Ndugu Prof. Geraldine Rasheli wa Bohari za serikali awe katibu mkuu wa wizara ya fedha.
Huko Bohari kuu naona wanabadilika kila siku kwa uongozi wa huyu japo anapelekeahwa na vijana wachawi wa mzumbe huko
Mchelea Mwana kulia hulia yeye walisema WahengaMama ata mtoa Mwigulu hapo Gz watakapo mzuia kuingia Magogoni.
Mwigulu ni hatari hata kuliko hao alio wapa kadi nyekundu ila Mama ana puuza waajiri wake.
Tukutane 2025
Kule vyuoni hakuna maokoto mazuri ndio maana wapo huku kwenye maishu makubwaProfesa anafanya nini kwenye Bohari za Serikali? Si aende akafundishe chuo kikuu!! Hii ndiyo brain drain
Huku wanapakua na kazi kubwa ni kusifia pekeeKule vyuoni hakuna maokoto mazuri ndio maana wapo huku kwenye maishu makubwa
System nzima imejaa watu wa hovyo tupuHuyu jamaa jinsi anavyopigwa vita nadhani atakuwa anatumia hata dawa za pressure kwa hofu ya kutumbuliwa....
Sahivi nchi imekuwa kama getoMambo yamekuwa chaotic uwezo amini kama hii ni nchi ile ile iliyokuwa stable na kupigiwa mfano na waafrica wenzetu miaka michache tu nyuma.
Mama hawezi kufanya ujinga huo kumtoa mwigulu nchemba. Anamjua vizuri sana kama ni mchumi ngulu na ndo kasababisha uchumi kuwa stable namna hii na biashara kushamili wakati kipindi cha jpm biashara nyingi zilifunga zenyeweIkulu wametoa taarifa kwa umma juu ya utenguzi wa baadhi ya viongozi kwenye baadhi ya taasisi za Serikali ikiwamo Posta na TTCL kwa viongozi wake wakuu na bodi kuvunjwa
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava
Aende BurundiMwigulu akiliwa kichwa nitafanya sherehe wiki nzima
Safari hii sikosiIkulu wametoa taarifa kwa umma juu ya utenguzi wa baadhi ya viongozi kwenye baadhi ya taasisi za Serikali ikiwamo Posta na TTCL kwa viongozi wake wakuu na bodi kuvunjwa
Hiyo ni dalili kuwa bado yamkini hali si shwari kwa baadhi ya mawaziri waliobakia madarakani na wakubwa wengine wanaotumikia nafasi za uteuzi
Pengine mkeka mwingine ukitoka hautamuacha salama waziri wa fedha na Mipango Mwingulu Nchemba na baadhi ya mawaziri na watendaji wengine wa Serikali
Hivi karibuni Ikulu ilitoa mkeka uliowapiga chini mawaziri wawili waandamizi January Makamba na Nape Nnauye
Ubaya Ubwela Comasava
Kunmbe Mwigulu ni mchumi "ngulu", nimeelewa ndiyo maana tuna pata shida na uchumi wetuMama hawezi kufanya ujinga huo kumtoa mwigulu nchemba. Anamjua vizuri sana kama ni mchumi ngulu na ndo kasababisha uchumi kuwa stable namna hii na biashara kushamili wakati kipindi cha jpm biashara nyingi zilifunga zenyewe