Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu jaribu kuwa mstaarabu, watu wanabishana kwa hoja na sio matusi ndiyo sifa ya jamii forum. Nafikiri sio tatzo lako bali waliokulea
Jdemee ulicho kichangia sio kizuri ndg hata kama unahasira kutukana matusi ya nguoni sio hekima.
Hufai kuwa mwalimu! Hayo ndio maadili ya ualimu uliyofundishwa? Nini unachotarajiwa kufundisha watoto wetu?
Kusema kweli umetukana wewe lakini nimeona iabu mimi, naomba tusishushe heshima ya JFmnisamehe bure tu asee ni hasira tu ndugu zangu
Kusema kweli umetukana wewe lakini nimeona iabu mimi, naomba tusishushe heshima ya JF
kumayako mtoa post
serikali ya kijani inaongozwa na mtu mmoja mmoja...
sio timu ya watu...
maamuzi kama haya yalikuwa wapi mpaka yatolewe leo? ina maana kipindi chote hicho ndugu zetu waalimu wanalilia ajira zao, hawakuliona hilo?
NB.. pesa za kuajiri waalimu zipo! kuna wajanja wanazifanyia kazi tu! fikirini kiundani wakuu! kwanini pesa za kuwalipa mishahara wabunge in millions na maposho kibao zipatikane, leo hii waalimu wanakataliwa hivi?
lazima kuna mdudu yuko wizarani ama serikalini..
waalimu wako weak sana! huo ndio mwanya unaotumika kuwakandamiza na kuwanyanyasa![/QUO]
Pamoja na kulipwa pesa nyingi, wabunge ni wachache ukilinganisha na walimu. Ajira kwa walimu zipo tu!!!! Wasihofu
mnisamehe bure tu asee ni hasira tu ndugu zangu
Ni hasira tuu mkuu wala so kitu kingine
Naombeni radhi ndugu zangu ni jazba tu
wakuu naibu waziri wa fedha mh mwigulu nchemba amekaririwa akitamka wazi kuwa serikali kwa sasa inakabiliwa na ukata wa fedha na hivyo kushindwa kuwaajiri walimu wapya kwa kuwa haina fedha za kuwalipa stahiki zao, pia kutokana na ukata huo wazabuni mbalimbali pamoja na makandarasi hawajalipwa hadi sasa achilia mbali madeni ya walimu ambao wanaidai serikali mabilioni ya fedha.
Hivyo ndugu zangu walimu mnaokaa nyumban kusubiria ajira mtasubiri sana mwaka huu
source: Gazeti la mwananchi la leo
mnisamehe bure tu asee ni hasira tu ndugu zangu
bajet ilipangwa kwa kila shughuli itakayofanyika mwaka huuu so pesa ya waalimu haiwez pelekwa uko unakosema.coz kila sekta inabajet yakemijitu mingine migumu sana kuelewa mtoa post katafsiri kinadharia kabisa walimu kutopangiwa vituo maana yake haijawaajiri na haina fedha za kuwalipa, mishahara na fedha ya kuanzia, kuhusu wazabuni wa serikali ni kweli hatujalipwa ndo maana miradi mingi imestop, hazina iko empty fedha nyingi imeingia ktk vitambulisho vya utaifa na mchakato wa katiba, msiwe na jazba