johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaaaa........ halafu mwandiko ni ule ule kwenye madaraja yote kuanzia Mtwara hadi Bukoba!John una vituko sana! Sasa nini sababu ya kum cc Wakudadavuwa? Hujui alishatemwa toka anyang'anywe ofisi na Kange? Usicheze na Wakudadavuwa katika maslahi! Yeye anataka matawi ya juu mwenzake.
Anyway tuache hayo, kwa nini usimshauri ale dili na jasusi ili yale matangazo amuuzie hati miliki wanafuta jina la Mwigulu tuu na kuchomeka Rais 2020 Bernard?
Atajipatia posho ya hatimiliki.
Sent using Jamii Forums mobile app