Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Hha msongo wa mawazo huo
Hongera zakeNa yeye akiwepo na mabasi yake ya Ester
Dunia ina bilionea 2,755 pekee kwenye us dollars, japo hajasema ila ni Tshs
ZaramoSorry ivi Kingwendu huigiza lafudhi ya kabila gani? Masanja lafudhi yake huiguza Wasukuma, na Mpoki huigiza Wahaya. Je huyo anatupatia reflection ya kabila gani?
Ikimbukwe Makabila ni kivutio na ni Historia ya mankind, kuikata hiyo hulenga tu kuilinda jamii ndogo against kubwa!
Wakati mwingine naamini wanasiasa huwa wanapindisha maneno makusudi ili wa trend kwenye media.Mwigulu toka aharibu kwenye ishu ya Tozo na malipo ya kodi ya viwanja kwenye Luku basi karma ni kama inamtafuna anakuja na majibu ya hovyo hata mtoto mdogo awezi kujibu na huyo ni PhD sasa angekua na Elimu za chini sijui ingekuaje...
0 brain. Bilionea wa pesa za madafu? Kama ni hivyo Zimbabwe kuna mabilionea wengi sana.Hongera zake
Ccm watafika mbiguni wamechoka sana kma ndio akili zao ndio hzi0 brain. Bilionea wa pesa za madafu? Kama ni hivyo Zimbabwe kuna mabilionea wengi sana.View attachment 1998471