Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
Suti ya graduation ya degree ya kwanza hiyo....!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na miongoni mwa maswali ya leo, ni swali linalohusu mabilionea waliopo Tanzania kwenda kwa wizara ya fedha.
Swali(Rashid Shangazi): Tuna idadi ya watu takribani milioni 55 wenye madaraja tofauti ya uchumi, katika idadi hiyo kuna mabilionea wangapi?
Waziri wa fedha(Mwigulu Nchemba): Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na TRA unaonyesha duniani kuna mabilionea milioni 14 na kwa mujibu wa ripoti ya RBC wealth management bara la Afrika pekee lina mabilionea 140,000 sawa na asilimia 1 ya mabilionea duniani.
Tanzania ina mabilionea 5740 ambao wanamiliki 4.2% ya utajiri katika kundi la mabilionea wa Afrika. Katika mabilionea hao ni 115 sawa na 2% wanaomiliki zaidi ya asilimia 28 ya utajiri wote wa mabilionea wanaotoka Tanzania
Duh, watu wana mwaga data ,[emoji1787]Na yeye akiwepo na mabasi yake ya Ester
Tunaongelea tz,dola za nnMabilionea kwa US $ au Euro au shilingi za kitanzania?
Amandla...
Ww ni mse.ng kweli timu GaidiNa robo tatu ya mabilionea hao ni Wahindi, wachaga na waarabu.
Kwenye hiyo orodha ambayo imetolewa na gazeti la Forbes la March, 2021, Tanzania kuna bilionea mmoja tu. Kwa kila watu milioni moja hapa Tanzania kuna bilionea 0.017. Kigezo kilichotumika ni Dola za Kimarekani. Tukiambiwa Kigezo cha fedha iliyotumika itasaidia katika kufanya ulinganishi. Kiukweli kama Kigezo ni fedha ya kitanzania basi mabilionea ni zaidi ya hao 5740.Dunia ina bilionea 2,755 pekee kwenye us dollars, japo hajasema ila ni Tshs
Hawa Mabilionea wa Mwigulu ni wa Tsh au USD?Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na miongoni mwa maswali ya leo, ni swali linalohusu mabilionea waliopo Tanzania kwenda kwa wizara ya fedha.
Swali(Rashid Shangazi): Tuna idadi ya watu takribani milioni 55 wenye madaraja tofauti ya uchumi, katika idadi hiyo kuna mabilionea wangapi?
Waziri wa fedha(Mwigulu Nchemba): Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na TRA unaonyesha duniani kuna mabilionea milioni 14 na kwa mujibu wa ripoti ya RBC wealth management bara la Afrika pekee lina mabilionea 140,000 sawa na asilimia 1 ya mabilionea duniani.
Tanzania ina mabilionea 5740 ambao wanamiliki 4.2% ya utajiri katika kundi la mabilionea wa Afrika. Katika mabilionea hao ni 115 sawa na 2% wanaomiliki zaidi ya asilimia 28 ya utajiri wote wa mabilionea wanaotoka Tanzania
Wa madafu aka mpunga au mawe.
Mabilionea kwa US $ au Euro au shilingi za kitanzania?
Amandla...
Katika hao mabilionea Sabaya yumo?Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na miongoni mwa maswali ya leo, ni swali linalohusu mabilionea waliopo Tanzania kwenda kwa wizara ya fedha.
Swali(Rashid Shangazi): Tuna idadi ya watu takribani milioni 55 wenye madaraja tofauti ya uchumi, katika idadi hiyo kuna mabilionea wangapi?
Waziri wa fedha(Mwigulu Nchemba): Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na TRA unaonyesha duniani kuna mabilionea milioni 14 na kwa mujibu wa ripoti ya RBC wealth management bara la Afrika pekee lina mabilionea 140,000 sawa na asilimia 1 ya mabilionea duniani.
Tanzania ina mabilionea 5740 ambao wanamiliki 4.2% ya utajiri katika kundi la mabilionea wa Afrika. Katika mabilionea hao ni 115 sawa na 2% wanaomiliki zaidi ya asilimia 28 ya utajiri wote wa mabilionea wanaotoka Tanzania
Kama marehemu baba yako