Mwigulu Nchemba: Tozo zina machungu, lakini lazima tuendelee nazo

Mwigulu Nchemba: Tozo zina machungu, lakini lazima tuendelee nazo

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.

Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.

Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
 
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.

Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.

Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
non sense, vituo vya afya na madarasa yaliyojengwa yatumike kwanza at maxmum na tunajenga kwa kodi zetu sio wizi na kupiga roba wananchi.
 
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.

Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.

Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
Mavi mkojo pumbavu
 
Ovooo Kabisaa

Hiyo mikopo mnayokopa mnapeleka wapii,

Huko njee mnakoenda manaenda kufanya nini Kwanini hizo pesa za kuzurura huko nje msipeleke kujenga mnakoenda kujenga,

Pili Mbona JPM mzalendo wa kweli hakutoka njee,Miradi tunaona kwa macho,
Hakuna TOZO hata cent moja,


Swali tuu kwa huyu Mwigulu

KIPAUMBELE CHENU NINI HASA MAANA SIJUI HATA NAONA TUU MNAPISHANA ARUSHA KWENYE MIKUTANO NA NJEE KWA SANA
 
Hizi tozo zingekuwa zinaonesha kazi za ziada zinazofanyika kupitia tozo tu peke yake watu wasingelalamika sana,lakini tunaambiwa zinajenga zahanati,shule sijui mikopo,hivyo vitu hapo awali vilijengwa kwa pesa zipi na bado maisha ya mwananchi wa chini hayakuwa hivi?,kitu kinacholalamikiwa na wengi ni kwamba tozo zimekuwa nyingi,hali ya maisha imekua juu halafu mtu anakuja na majibu mepesi.
 
Huyu mtu
Screenshot_20220901-115638.jpg
 
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji2961]
 
Hivi wanasiasa huwaje aisee, madarasa si walishasema wamemaliza, hayo 8,000 ya nini
 
Hauwezi kunieleza kuwa kama nchi tunahitaji kujifunga mikanda ili tuinue uchumi. Uchumi upi kama karibu 50% ya tozo mnaitafuna. Pesa yote inaenda kuihudumia matumizi ya serikali. Wewe waziri bila aibu umeenda kuwakilisha bajeti na gari V8 latest ambayo thamani yake si chini ya milioni 500. Guys, you are not ashamed of yourselves. Acheni kuhadaa wanainchi na maelezo ya kujenga mashule na vyoo. Hiyo gari moja uliyojinunulia ingejenga vyoo na shule ngapi. badala yake ina pesa hiyo unaitumia kusafiria kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako. Ni upunguani gani huu.
kama tuko serious, tuanze na serikali kubana matumizi. BANENI MATUMIZI, tozo hizi zitakuwa na maana.
 
Hauwezi kunieleza kuwa kama nchi tunahitaji kujifunga mikanda ili tuinue uchumi. Uchumi upi kama karibu 50% ya tozo mnaitafuna. Pesa yote inaenda kuihudumia matumizi ya serikali. Wewe waziri bila aibu umeenda kuwakilisha bajeti na gari V8 latest ambayo thamani yake si chini ya milioni 500. Guys, you are not ashamed of yourselves. Acheni kuhadaa wanainchi na maelezo ya kujenga mashule na vyoo. Hiyo gari moja uliyojinunulia ingejenga vyoo na shule ngapi. badala yake ina pesa hiyo unaitumia kusafiria kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako. Ni upunguani gani huu.
kama tuko serious, tuanze na serikali kubana matumizi. BANENI MATUMIZI, tozo hizi zitakuwa na maana.
Pia posho na mishahara yao ipunguzwe haraka na matumizi ya serikali yashuke kwa 75%
 
Back
Top Bottom