Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.
Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.
Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.
Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.