MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali naomba nilianzishie Uzi kwa ruhusa yako.Tunaweza kuendelea na Tozo Bila yeye kama waziri?
Hakuna jengine zaidi ya vituo vya afya na madarasa ya shule?Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
Hahaha..... Sisi Wengine tulienjoy Wakati waziri wa fedha akiwa Prof Kighoma MalimaHili swali naomba nilianzishie Uzi kwa ruhusa yako.
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.
Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.
Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.
Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.
Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
Amedhihirisha kuwa yupo gizani anaishi na kufanya kazi kwa kupapasa kama vipofuWaziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.
Ametolea mfano wa fedha zinazotolewa kwenye kilimo na wamachinga, pia amesisitiza kuwa pamoja na machungu ya tozo hizi, ni lazima watanzania tujifunge mkanda kuzikabili ili tuuvunje mnyororo wa umaskini.
Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya, kujenga zaidi ya madarasa 8000 mwaka huu ili kuziba pengo lililopo kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi nchini.
Anapewaje heshima mtu mkandamizaji hiviMhe. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kiasi kikubwa cha pesa zinazokusanywa kwenye tozo zinarudi kwa wananchi wenyewe kupitia shughuli za uzalishaji mali.
Kupitia tozo hizi, Serikali inapanga kuongeza vituo vya afya