Wafanyabiashara wengi hasa wakubwa wamehamishia biashara zao Nchi Jirani hata pesa zao nyingi hawaziweki kwenye mabenk ya Tanzania ambayo hayapo huru yanaingiliwa na TRA bila kikwazo, wafanyabiashara wengi hawana imani na mabenk ya Tanzania sasaNalifikiria kwa makini,
Tanzania huwa hatuko na ujasiri wa kuhama, tunaona waethiopia wengi sana wakihamia South Afrika.
Tutajaribu nchi za karibu, Zambia Malawi na Kenya.
Mwigulu ni mnufaika wa uonevu unyanyasaji wa TRA kwa wafanyabiashara ndiyo maana kajitoa fahamu kaamua kutetea vitu vya uonevu mkubwaIko kuanzisha biashara inalazimika uwe na tin number kutoka tra. Sasa huyu mchora nawe mkoa mzima wa singida akiomba urais akakosa, awambie tra utoe utaratibu wa wazi nini mfanyabiashara anatakiwa kufanya ili afunge biashara yake .ndio utakapoona Hali halisi. Pili wewe inaisha kwa kula siasa, biashara hujawahi kufanya.
Matumizi ni kujenga chato Airport, mbuga mpya ya wanyama, mwigulu kufufua Timu yake ya Singida UTD kununua vx kwa viongozi wote na mengineyo mengi ya kuuzi zaidiMatumizi ya kodi ndiyo yanaleta ukakasi wa kulipa kodi,
Unalipa kodi, hospital dawa hakuna, Barabara hapitiki, hudama mbalimbali zinazotolewa na serikali ni mbovu, vipaumbele vya serikali si vya wananchi, mi uwo ujasiri WA kudai risiti nautoa wapi?
Mwingulu ana wizara yake badala aboreshe mishahara ya watumishi wa mahakama yupo busy kutetea TRA na uonevu wao wa kufunga biashara, Account za wafanyabiashara kienyeji kwa njia haramu za kishetaniWaswaga ng'ombe leo ndio wasemaji wa kukussnya revenue. Wanadhani kodi ni sawa na kundi la kondoo.
Kabisa. Alimsifu sana mek...hadi akarudishwa kundini.Mwigulu ni Chawa mkuu
Utajaribu na nani we kima nenda peke yako.Nalifikiria kwa makini,
Tanzania huwa hatuko na ujasiri wa kuhama, tunaona waethiopia wengi sana wakihamia South Afrika.
Tutajaribu nchi za karibu, Zambia Malawi na Kenya.
Jitoe akili tu! Mimi sio 90 elfu peke yake hata nikinunua kondom nadai risiti utanieleza nn we mamaWe ngiri huna ujanja wa kuvaa kiatu cha 90,000. Hakuna kiatu cha kushonesha cha 90,000, na ww viatu vyako vyote ni vya kushonesha kwa wapare wa vibarazani.
Ni kweli kabisa mama Majaliwa.Jitoe akili tu! Mimi sio 90 elfu peke yake hata nikinunua kondom nadai risiti utanieleza nn we mama
Umewahi kumiliki mashine ya efd? Au biashara yako tu yeyote?Swadakta Mhe. Waziri, kuna watu wameumbiwa kulalamika tuuuu! Kama unajua wajibu wako TASK FORCE itadunda kwakua Kila watakapoweka mitego watakuta uko vizuri.
Ila wale wafanyabiashara janja janja, unanunua Mali ya milioni 30 unaandikiwa Risiti ya milioni Moja wacha wafungiwe tu maana namna hakuna.
Nimewahi kuleteana Sana shida na Cashier wa duka Moja mtaa wa Tandamti ameniuzia kiatu cha elfu 90 halafu namdai risiti ananiambia mashine mbovu. Nikamwambia basi nirudishie fedha yangu... Ghafla mashine ikapona na nikapewa Risiti.
Hawa ndio watu Nape anawatetea yaani bureee kabisa. Mabarabara, Mishahara, Madawa vitanunuliwa kwa fedha toka wapi Sasa?
Kima mamaakoUtajaribu na nani we kima nenda peke yako.
Si mpaka atoke?Kuna watu watapotea mapema mno baada ya JPM kuondoka madarakani mmojawapo ni huyu Mwigulu
Nachokumbuka ni kuwa akiwa pale Complex - Dom,aliwahi kumwibia Kweka dukani kwake.Hebu muulize Mwigulu kama aliwahi kuuza hata mapera au mahindi ya kuchoma
Mwigilu amejifunza baada yakutumbuliwa wakati ule akiwa mambo ya ndani,hakuna namna ili yasimkute tena lazima asifu na kuabudu.Waziri wa katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba amewajibu wabunge wa CCM wanaoilalamikia TRA kwamba taasisi hiyo inatimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.
Mwigullu Nchemba amesema katika serikali iliyopita wakati akiwa Naibu waziri wa fedha uchumi wetu uliendeshwa kwa kodi za watumishi wa umma kwani wafanyabiashara hasa wakubwa walikuwa hawalipi kodi kabisa.
Wafanyabiashara walikuwa wanakimbilia bodi ya rufani za kodi kujificha lakini awamu hii mambo ya konakona hayapo tena, amesema Mwigullu.
Ikumbukwe kuwa wabunge wa CCM wakiongozwa na Nape Nnauye na Joseph Musukuma walidai kuwa TRA inawaonea wafanyabiashara kwa kutumia task force badala ya wataalamu wa kodi.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Mimi ndo sijamwelewa Mwigulu?, Kwamba bodi ya rufani ya kodi ipo kumsaidia mfanyabiashara akwepe kodi????Asante mwigulu.
TRA tupeni utaratibu wa kufunga biashara kisheria.
Labda!Mimi ndo sijamwelewa Mwigulu?, Kwamba bodi ya rufani ya kodi ipo kumsaidia mfanyabiashara akwepe kodi????
hopless kabisa. na huyu anajiita msomi. kwa kauli hiyo ana tofauti gani na kibajajiBiashara zinazofungwa ni maduka ya akina mama ntilie
Hao ni wafanyabisahra wakubwa wa kona kona?
Mwigulu kawa kichaa kabisa
Ndio ujue aina ya viongozi tulio nao.Mimi ndo sijamwelewa Mwigulu?, Kwamba bodi ya rufani ya kodi ipo kumsaidia mfanyabiashara akwepe kodi????