Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Usihamishe Goli we tomboy, swala ni kutoa Risiti yenye gharama halali ya bidhaa ili/zilizouzwa.Umewahi kumiliki mashine ya efd? Au biashara yako tu yeyote?
Manake kama huna biashara nyamaza tu
Sasa naelewa maneno ya biblia KWANINI watu waliwachukia watoza ushuru na KWANINI walikuwa wakwasi Sana kumbe Ni GENETIC.Waziri wa katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba amewajibu wabunge wa CCM wanaoilalamikia TRA kwamba taasisi hiyo inatimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.
Mwigullu Nchemba amesema katika serikali iliyopita wakati akiwa Naibu waziri wa fedha uchumi wetu uliendeshwa kwa kodi za watumishi wa umma kwani wafanyabiashara hasa wakubwa walikuwa hawalipi kodi kabisa. Wafanyabiashara walikuwa wanakimbilia bodi ya rufani za kodi kujificha lakini awamu hii mambo ya konakona hayapo tena, amesema Mwigullu.
Ikumbukwe kuwa wabunge wa CCM wakiongozwa na Nape Nnauye na Joseph Musukuma walidai kuwa TRA inawaonea wafanyabiashara kwa kutumia task force badala ya wataalamu wa kodi.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Pumbavu mkubwa huna hoja.Matumizi ni kujenga chato Airport, mbuga mpya ya wanyama, mwigulu kufufua Timu yake ya Singida UTD kununua vx kwa viongozi wote na mengineyo mengi ya kuuzi zaidi
Mazuzu yamejazana hukoDu!!!!! CCM kumejaa ujinga.
Na Yale ya esther si ni yake piaHuyo Mwigulu ana kampuni yake ya mabasi ya abiria, yanaitwa Tanzanite Bus, akaguliwe na yeye kama anatoa risiti za EFD kwa wanaotuma mizigo.
Yeye mwenyewe mkwepa kodi, hatoi risiti za EFD.
Hao wanatii maagizo ya mtu mmoja msumbufu.Mimi naamini ipo siku moja Watanzania wote kwa kauli moja tutaafikiana kuna mahali tumekosea, TRA indeleeni kufanya munayofanya ila naamini nanyi pia mupo kwenye hii boti.
onyesha hapa siyo unasemasema ryuuMa yutong yake kayapa jina la mke wake
kimekuuma?? Huwezi hama kiinge hujui.ndi matokeo yake hayaUtajaribu na nani we kima nenda peke yako.
Smaki umeandika kama mtu asikua na meno!kimekuuma?? Huwezi hama kiinge hujui.ndi matokeo yake haya
Meno ninayo mkuu ila sababu ni kuelimika sana.mpaka nasikia maumivuSmaki umeandika kama mtu asikua na meno!
Mungu ibariki JFWaziri wa katiba na sheria Dr Mwigullu Nchemba amewajibu wabunge wa CCM wanaoilalamikia TRA kwamba taasisi hiyo inatimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.
Mwigullu Nchemba amesema katika serikali iliyopita wakati akiwa Naibu waziri wa fedha uchumi wetu uliendeshwa kwa kodi za watumishi wa umma kwani wafanyabiashara hasa wakubwa walikuwa hawalipi kodi kabisa. Wafanyabiashara walikuwa wanakimbilia bodi ya rufani za kodi kujificha lakini awamu hii mambo ya konakona hayapo tena, amesema Mwigullu.
Ikumbukwe kuwa wabunge wa CCM wakiongozwa na Nape Nnauye na Joseph Musukuma walidai kuwa TRA inawaonea wafanyabiashara kwa kutumia task force badala ya wataalamu wa kodi.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Huyu mwizi ataendelea kuua uchumi.
Kuna watu watapotea mapema mno baada ya JPM kuondoka madarakani mmojawapo ni huyu Mwigulu. waziri sasa hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MkuuKuna watu watapotea mapema mno baada ya JPM kuondoka madarakani mmojawapo ni huyu Mwigulu