Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Bado tuna safari ndefu mnoNa hilo la uzalishaji wa ndani halitakuja kutokea kwa mazingira haya ya sera mbaya za uwekezaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tuna safari ndefu mnoNa hilo la uzalishaji wa ndani halitakuja kutokea kwa mazingira haya ya sera mbaya za uwekezaji.
Mwigulu Nchemba amelaumu suala la watu kutumia deni la taifa kisiasa, hivyo ametaja baadhi ya sababu za deni la taifa kuongezeka.
Mwigulu amesema Tsh trilioni 5 zilizoongezeka kwenye deni la taifa ni kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola. Amesema suala hilo limetokea kutokana na uchumi wa dunia kushuka.
====
Pia soma:
Wenye Madeni wote wametuzidi Uchumi kasoro Senegal na DRCMwigulu Nchemba amelaumu suala la watu kutumia deni la taifa kisiasa, hivyo ametaja baadhi ya sababu za deni la taifa kuongezeka.
Mwigulu amesema Tsh trilioni 5 zilizoongezeka kwenye deni la taifa ni kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola. Amesema suala hilo limetokea kutokana na uchumi wa dunia kushuka.
====
Pia soma:
Huyu fala mvaa bendera bado yupo ofisini anafanya Nini??Mwigulu Nchemba amelaumu suala la watu kutumia deni la taifa kisiasa, hivyo ametaja baadhi ya sababu za deni la taifa kuongezeka.
Mwigulu amesema Tsh trilioni 5 zilizoongezeka kwenye deni la taifa ni kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola. Amesema suala hilo limetokea kutokana na uchumi wa dunia kushuka.
====
Pia soma:
Kwenye hizo trillion 90 na uhakika pesa tulizopewa ni kama trillion 40 tu, hizo zingine ni malimbikizo na riba tu, unakuta mkopo alikopa mkapa mpaka Leo unalipwa taratibu, mlimuone magufuli mjinga alivyowaambia kua mzungu hajawahi na hawezi Kuja kumpenda mu africa
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi!
Stupid question..sasa kwanini magufuli hakufukuza mabalozi wote toka nchi za wazungu?
..stupid ni kiongozi aliyekwambia wazungu wanawachukia waafrika huku akizidi kuwakaribisha na kuwakumbatia.Stupid question
Si bahati mbaya ni kwa sababu maccm top Wana interest zaoNa hilo la uzalishaji wa ndani halitakuja kutokea kwa mazingira haya ya sera mbaya za uwekezaji.