CHARLES2016
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 376
- 435
Hivi Kati ya Mwigulu na mama ni nani mbobezi kwenye uchumi?Huyu Waziri arejee kauli ya Mama aliyoitoa Mei Mosi,kuhusu uchumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kati ya Mwigulu na mama ni nani mbobezi kwenye uchumi?Huyu Waziri arejee kauli ya Mama aliyoitoa Mei Mosi,kuhusu uchumi.
Mkuu ukuaji wowote lazima uwe chanya (positive) tofauti na hapo huwezi kuita growth.Yuko sahihi, unakua kwenda chini
Endelea kukaririMkuu ukuaji wowote lazima uwe chanya (positive) tofauti na hapo huwezi kuita growth.
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema licha ya mlipuko wa COVID19, Tanzania ni miongoni mwa Nchi chache zilizokuwa na ukuaji wa Uchumi chanya kwa mwaka 2020.
Amesema Pato la Taifa la Tanzania lilikua kwa 4.8% na sekta zilizochangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji ni Ujenzi, Habari na Mawasiliano, Uchukuzi na Uhifadhi wa Mizigo, Huduma zinazohusiana na Utawala, Madini na mawe, Afya na huduma za Jamii
DENI LA TAIFA LIMEFIKIA TRILIONI 60.9, NI HIMILIVU
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema hadi Aprili 2021, Deni la Serikali lilikuwa Trilioni 60.9 ambapo kati ya kiasi hicho, Deni la Nje ni Trilioni 43.7 na la Ndani ni Trilioni 17.3. Deni linatokana na kupokelewa Fedha za Mikopo kwa ajili ya kugharamia Miradi ya Maendeleo
Imeelezwa, Deni ni himilivu katika kipindi cha muda mfupi, wa kati na mrefu kwa kuzingatia ukomo wa viashiria vyote vinavyokubalika Kimataifa
Umekuwa ndiyo nini?Rais anasema uchumi umeshuka yeye anasema umekuwa
You are thinking ni kingereza gani braza?Mbona mnashindwa kumuelewa? You are thinking emotionally!
Amesema ni moja kati ya nchi chache zilizokuwa na ukuaji uchumi chanya 2020. Au kwenye hiyo 4.8% mmeona alama ya negative?
Na ni kweli nchi nyingi duniani uchumi ulikuwa unasoma negative something.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu tumuamini nani kati ya Rais na WaziriR.I.P Magufuli
Ulikataa lock down kwa watanzania licha ya chadema kukimbia bunge na kwenda kukaa lockdown.
Sasa uchumi umekua.
Unashukaga inategemea tunataka nini na tunaongea na nani ?Uchumi wetu haushukagi
Ova
Haha nmekuelewaUnashukaga inategemea tunataka nini na tunaongea na nani ?
Mfano, Wanasema uchumi wetu ni imara na unakuwa kwa kasi kwasababu hatujaathirika na CORONA lakini Mabeberu wakitoa package ya mkopo nafuu kwaajili ya nchi zilizoathirika na CORONA na sisi tunataka🤣
Typing errorUmekuwa ndiyo nini?
Ameshakufa anaozaR.I.P Magufuli
Ulikataa lock down kwa watanzania licha ya chadema kukimbia bunge na kwenda kukaa lockdown.
Tofautisha national income na per capital income.Mwiguru anaongelea national income.Wewe unaongelea per capital income. Umesomea nn we?Kuwa na mtazamo tofauti siyo kwamba ndo ni mpinzani mkuu, sema tunaangalia hali za watanzania kwa ujumla je kinachosemwa kinaendana na uhalisia wa maisha yetu?