Mwigulu, sauti ya Luhaga Mpina ni sauti ya watanzania. Tupatie majibu, kwanini ujenge madarasa kwa pesa za foreign reserve? Ulisema za UVIKO zinatosha

Mwigulu, sauti ya Luhaga Mpina ni sauti ya watanzania. Tupatie majibu, kwanini ujenge madarasa kwa pesa za foreign reserve? Ulisema za UVIKO zinatosha

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?


Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?

Tupe majibu watanzania
 
Mmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?


Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?

Tupe majibu watanzania
Zimetumika kununua Singida Big Stars na usajili wa wazungu
 
Mmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?


Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?

Tupe majibu watanzania
Tatizo lililopo ndani ya serikali ya Ccm ni kutuona Watanzania ni wajinga.
Kama wabunge wanaitwa waganga wa kienyeji na wana piga makofi unaona kuna bunge hapo kweli?
Badala ya kuomba muongozo wa spika kwamba wamedhalilishwa wao wana piga makofi.
Itakuja siku watatukaniwa mama zao bado wata piga makofi.
Au mtu ana simama na kujisifu ati Phd yake hakupewa ameisomea.
So what!!! Kwamba kwa Tanzania ni yeye pekee mtaalamu wa uchumi?
Yaani ni mambo ya aibu sana.
Huyu huyu jamaa alisha tuambia tuhamie Burundi, bado mamlakaya uteuzi ilikaa kimya kumuonya. Hivyo kichwa kina vimba.
Ifike mahali sasa tuseme inatosha.!!! Mamlaka ya uteuzi imuondoe akawajibu mahara zake haya majibu.
 
Mmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?


Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?

Tupe majibu watanzania
Miradi iliyoanzishwa kwa mkupuo ni mingi na yote inatakiwa iende, baada ya hatua ya malipo kufikia kulipa ni lazima no matters fedha husika itatoka wapi, lengo ni miradi hii ikwishe hakuna namna ingine, fedha zitanyangwanywa popote zilipie gharama za matengenezo za miradi, that's shorts and clear!
Kwa binafsi ninavyoelewa as #crocodiletooth.
 
Miradi iliyoanzishwa kwa mkupuo ni mingi na yote inatakiwa iende, baada ya hatua ya malipo kufikia kulipa ni lazima no matters fedha husika itatoka wapi, lengo ni miradi hii ikwishe hakuna namna ingine, fedha zitanyangwanywa popote zilipie gharama za matengenezo za miradi, that's shorts and clear!
Kwa binafsi ninavyoelewa as #crocodiletooth.

sasa waseme basi
shoda yetu sisi wabongo ni kuficha sana mambo
 
Mmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?


Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?

Tupe majibu watanzania
Sema ni sauti yako, usitusemee,
 
Back
Top Bottom