Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

siwezi kukupinga au kukubali
cha muhimu tuwe na strong evidence on both sides.
kutukana haisaidii,You are defending Mwigulu and Nchimbi thats right
and at the same time you are accusing Ben as the mastermind of the said content.
usichojua ni kuwa hili suala halihitaji kutoka povu.
tunahitaji ushahidi kamili..
Kama una evidene kuwa Ben ana ID zaidi ya moja weka hapa
na pia kwa wale ambao wana evidence Mwigulu ana ID zaidi yamoja waweke hapa.
Tunachotaka hapa sio threats,tunataka ukweli ujulikane na tuwe na ushahidi wa kitaalamu.
I cant held Mwigulu as gulity or Ben as innocent,
we still need evidences to prove their status....
Huyo Adil kwanini asingefanya siku nyingi utaalamu huo bila hata kumwita Ben?
Ni kesi ngapi za cybercrimes nk ziko pendding hadi leo kisa hakuna wataalamu??
na kwanini hadi leo hao watajwa hawajahojiwa to mean Mwigulu na nchimbi? wote ni accused...
Si ndio Tanzania pekee mtu hupelekwa mahakamani bila evidence yoyote na baadae kesi kufutwa for lack of evidence? kwa vile watanzania hawajui haki zao jeshi la polisi wanatakiwa kuwalipa kwa kuwapoteza muda wao kama wakifungua civil suits against the government.
Ujinga huu utakwisha.

 
Pimbi wewe...kama ni uzushi mbona hukuwapeleka mahakamani?We si ulidai kutumiwa sms na kina Mnyika?yaliishia wapi?we jamaa lishamba sana

Hahaha hahaha hahaha hili li mwigulu chemba dunga yembe kweli!
 
Mh. Mwigulu, supervisor haina double p, uwe makini mkuu unatafuta PhD, siyo kura!

Hahaha hahaha hahaha mwigulu chemba English haipandi hata. ...zero brain huyo mwigulu. .Tanzania ina watu wanaojiita wasomi kumbe fake
 
chadema wamebakiza vurugu tu wamempalamia zitto kawashinda sasa wanaanza kutunga mambo ya uongo ili kuficha makovu yao.

Sio CHADEMA watanzania waijuayo.
 

Yawnnnnnnnnnnnnnnnnn!
 
Hongera kumbe mwígulu unasoma phd, tudokeze ni ya nini?

Ya kurusha mabomu na kuuwa makanisani, kwenye mikutano ya CDM bila kusahau kuuwa mapadri na wachungaji, watu wa tume ya katiba, waandishi wa habari
 
Hizi ndio siasa gani za "Ben,Look at you.!"?.kwanini hatufanyi siasa za kujenga hoja?mwigulu atambue kua siasa zikienda hv anavyotaka nchi itachafuka kwakua kuna vizazi vinajua kukomaa na watu wababe hata wakiwa viongozi wakubwa.na nchi ikichafuka watu wote huwa wanakua ktk same class kama ilivyotokea Libya na kwingineko.The Hague pia huwa inajua pa kuanzia,wanaomsifia sasa watamcheka na kumkana.
 
Ulikuwa wapi siku zote hizo kujibu tuhuma hizi?
 
Eeeeiiishhhh....... Acha perepete, ben sio notredame, yeye ni ben humu na mitaani, vitisho vya nini? Simama kama ben ndio tujue unajiamini basi?


Inasikitisha sana, watendaji wa hizi kazi hawana muda wa kuja na kutamba na kujidai wanamjua sijui adili au nani, it is unprofessional hat kumtaja....


Too bad we can even manage light issues with running to the armpit ya guardians
 
Muda umefika sasa tunahitaji mahakama ya JF,
Tunahitaji muendesha mashtaka wa JF,
Tunahitaji mawakili wa JF,
Tunahitaji polisi wa JF,
Mahakama ya JF iwe juu ya mahakama zote nchini(na katiba iseme hivyo)
NB.this is urgent
c.c INVISIBLE
 

Wacha u p u m b a v u dogo, watu tupo chimbo na tunatengeneza software za ku-Hack hata hao wamarekani, China, Germany whole UK wewe unakuja kuongelea IP addresss?? WtF's IP address??
Nikitumia Computer yako nikaandika ninachotaka kwa hiyo wewe ukamatwe??
Dogo, hacking's something else.
Kama wewe ni hacker unaweza kupita ktk kila security guard za kila programme axcept US embassy, hebu tupe siri za waisrael ktk hii dunia.
Unakuja kutuambia Adili, who's Adili??
Sasa Ben mumemuita wa nini?
Akili sufuri-A(0) bana.
Ben ame-copy na ku-paste eti mnamuita aeleze.
Kwahiyo hata to copy n'paste hamjui maana yake!!
Halafu ndiyo mnajiiita waongoza nchi.
KUISHI NA MJINGA NI SHIDA KUBWA SANA.
 
Hakuna MUONGO anayeweza kuwa smart muda wote zaidi ya kujidanfanya mwenyewe TU.
Mwigulu kaona Nchimbi kapigwa chini ndiyo anakuja kurukaruka hapa na Ben, wangapi wana-copy and paste kutoka site nyingine kuja jf au jf kwa jf na wewe Msomi wa Kichina Mwigulu huendi polisi??
Mtoto mdogo unakula damu za watu hakika mwisho Mabina ana nafuu.
CC😡mwigulunchemba
 
Mwigulu ni lini ulikubali mabaya yote uliyofanya? Mabomu uliyotoka nayo China ulisema? Wake za watu uliotembea nao ulisema? Fedha za kupooza hiyo soo milioni kumi ulizotoa igunga ulisema? Mipango ya kuiua chadema ulisema? Nini kinakufanya uje hapa kulilia huruma ya wana jf? Unaibu wako ni cheo, ipo siku
Muda utafika utaacha, sio cheo cha milele kaka.
 
Stupid kabisa,

Tuna mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya taifa letu,na sio kuja hapa kuzungumza utumbo utumbo kama huu
 

Proactive Ben

katika watanzania woooooote walio JF wewe ndio ulikuwa na gat ya kumuuliza Nchimbi au mwigulu?? kwanza number zao ulipata wapi na kwa nini uwe nazo...( majasusi)

Pili unasema uliulizwa na polisi umeingilia mawasiliano?? hivi umesoma mpaka darasa la ngapi??

hauoni unaweza kuulizwa silly and stupid question ku validate unayoyawaza??

hivi kwa nini vijana wa aina yako hawana uwezo wa kufikiri nje ya box??

umeulizwa investigative questions, bila hiyana umekuja kusema ulichoulizwa, wenzako wanampata mtu hapo, you might be the one

kubali kuwa umekuwa mjinga kwa kivuli cha uanamapinduzi, umeingia kwenye mitego ya polisi kwa akili zako ndogo



WW ULIZUSHA, ULIPANGA, ULIANDIKA, UMEONEKANA NA KAJITETEE HUKO, ACHA PUBLIC SYMPATHY

SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA NA .............be careful wasi ku-lema
 

wewe mganga njaa Ben Saanane; elimu usiyoitumia ina manufaa gani? ni sawa kuwa na jembe na kuliweka chini ya uvungu wa kitanda; wewe ni hasira za maisha vijana wa kitanzania tunaelewa CCM ni kitu gani na imetufanyia nini katika maisha yetu; hivi kama sio serikali ya CCM ungesoma ? unegekuwa mpiga au muedesha bodaboda; nadhani umesahau ulivyokuwa unajidi India kaa chini uyakumbuke vizuri; leo unaadhirika mjini kwasababu elimu uliyonayo haikusaidii kimaisha wala kifikra matokeo yake ni hayo ya kutumiwa na kuvuliwa kama chupi. elimu uliyo nayo mwajiri mkubwa ni serikali ya JMT na huo ndio ulikuwa mtego wako; hivi kwa akili yako kituko kama wewe uajiriwe mambo ya nje ili iweje? Endelea kutumiwa na hao mabwana zako hapo Chadema na ukweli hawakutaki ila unajipendekeza; wewe ni nyoka mwenye sumu kali ya unafiki; hivi unafikiri Mbowe na Heche hawalijui hilo??? walitaka kukutumia kumamliza Zitto kazi ilikushinda ulichobaki ni kujipendekeza humu Jamii Forum ili uonekane ni mtetezi wa Mbowe; wewe ni mganga njaaa huna lolote la kuniambia maisha mgogoro ndio maana unajikombakomba!!! sasa unatumika kutengeneza email za uongo za viongozi angalia sana utaishia pabaya hivi hizi elimu za kihindi hazikundishi madhara ya athari ya kutengeneza vitu vya uongo na kuviweka kwenye mitandao??
 
Na unaamini kwa dhati kabisa kuwa kwa maneno yako haya mnamsaidia Mwigulu katika kile anachokusudia wananchi wamuelewe..!? Dah.. hebu soma tena post yako kisha jitendee haki wewe na upeo wako ndugu.

Hapa tunamueleza ukweli huyu mganga njaa wenu Ben Saanane mzururaji hapo anayeishi kwa kulamba makalio ya wanaume wenzake!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…