Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

siwezi kukupinga au kukubali
cha muhimu tuwe na strong evidence on both sides.
kutukana haisaidii,You are defending Mwigulu and Nchimbi thats right
and at the same time you are accusing Ben as the mastermind of the said content.
usichojua ni kuwa hili suala halihitaji kutoka povu.
tunahitaji ushahidi kamili..
Kama una evidene kuwa Ben ana ID zaidi ya moja weka hapa
na pia kwa wale ambao wana evidence Mwigulu ana ID zaidi yamoja waweke hapa.
Tunachotaka hapa sio threats,tunataka ukweli ujulikane na tuwe na ushahidi wa kitaalamu.
I cant held Mwigulu as gulity or Ben as innocent,
we still need evidences to prove their status....
Huyo Adil kwanini asingefanya siku nyingi utaalamu huo bila hata kumwita Ben?
Ni kesi ngapi za cybercrimes nk ziko pendding hadi leo kisa hakuna wataalamu??
na kwanini hadi leo hao watajwa hawajahojiwa to mean Mwigulu na nchimbi? wote ni accused...
Si ndio Tanzania pekee mtu hupelekwa mahakamani bila evidence yoyote na baadae kesi kufutwa for lack of evidence? kwa vile watanzania hawajui haki zao jeshi la polisi wanatakiwa kuwalipa kwa kuwapoteza muda wao kama wakifungua civil suits against the government.
Ujinga huu utakwisha.

amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS
 
Pimbi wewe...kama ni uzushi mbona hukuwapeleka mahakamani?We si ulidai kutumiwa sms na kina Mnyika?yaliishia wapi?we jamaa lishamba sana

Hahaha hahaha hahaha hili li mwigulu chemba dunga yembe kweli!
 
Mh. Mwigulu, supervisor haina double p, uwe makini mkuu unatafuta PhD, siyo kura!

Hahaha hahaha hahaha mwigulu chemba English haipandi hata. ...zero brain huyo mwigulu. .Tanzania ina watu wanaojiita wasomi kumbe fake
 
amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS

Yawnnnnnnnnnnnnnnnnn!
 
Hongera kumbe mwígulu unasoma phd, tudokeze ni ya nini?

Ya kurusha mabomu na kuuwa makanisani, kwenye mikutano ya CDM bila kusahau kuuwa mapadri na wachungaji, watu wa tume ya katiba, waandishi wa habari
 
Hizi ndio siasa gani za "Ben,Look at you.!"?.kwanini hatufanyi siasa za kujenga hoja?mwigulu atambue kua siasa zikienda hv anavyotaka nchi itachafuka kwakua kuna vizazi vinajua kukomaa na watu wababe hata wakiwa viongozi wakubwa.na nchi ikichafuka watu wote huwa wanakua ktk same class kama ilivyotokea Libya na kwingineko.The Hague pia huwa inajua pa kuanzia,wanaomsifia sasa watamcheka na kumkana.
 
amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS
Eeeeiiishhhh....... Acha perepete, ben sio notredame, yeye ni ben humu na mitaani, vitisho vya nini? Simama kama ben ndio tujue unajiamini basi?


Inasikitisha sana, watendaji wa hizi kazi hawana muda wa kuja na kutamba na kujidai wanamjua sijui adili au nani, it is unprofessional hat kumtaja....


Too bad we can even manage light issues with running to the armpit ya guardians
 
Muda umefika sasa tunahitaji mahakama ya JF,
Tunahitaji muendesha mashtaka wa JF,
Tunahitaji mawakili wa JF,
Tunahitaji polisi wa JF,
Mahakama ya JF iwe juu ya mahakama zote nchini(na katiba iseme hivyo)
NB.this is urgent
c.c INVISIBLE
 
amini nawaambia, ben and the group are all behind this.
inatakiwa akili kidogo tu kuuelewa mchezo....
baada ya kukamilisha kazi yao(kwa malengo wanaoyajua wao) ya ku-create fake IDs na kujitumia ujumbe, wakaamua kuzivujisha kwenye mitandao ili waone athari zake as planned.
walipigwa na butwaa kuona kwamba wahusika(naanisha majina yaliyotengenezewa IDs) hawababaiki then stering wa movie BEN SAA8 akaamua kuwatumia sms ili kuwa-provoke.
hata mpelelezi wa kiwango cha chini kabisa atamuhusisha moja kwa moja Ben na huu upuuzi, alishindwa kuvumilia matokeo Hasi ya mpango wao akaamua kuji-expose blindly kwa kujifanya ana act smart kwa kuwatumia hao akina nchemba email.
personally, i can penetrate in to any computer, website and admistrated system any time at my will. apart from US EMBASS and WFP systems which are well protected, the rest of the systems,computers and websites in tanzania are more than 79% vulnarable to attacks and penetration.
ni rahisi ku-trace route flow ya information kutoka kwenye computer yoyote mpaka destination point huku trace routing ikionyesha IP ADRESSES za kila computer na majina ya computer husika.
na anayejidanganya kuwa eti hao wataalamu hakuna ndani ya jeshi la polisi!! aende polisi makao makuu akaulizie kichwa kimoja adimu kinachojulikana kwa jina la ADILI,,
Wajinga nyie watoto, tuko tayari tupunguze shughuli zetu za ujenzi wa taifa ili tupate muda wa ku-deal na nyie,,,,,,
we will never leave our country to pathetic DOGS

Wacha u p u m b a v u dogo, watu tupo chimbo na tunatengeneza software za ku-Hack hata hao wamarekani, China, Germany whole UK wewe unakuja kuongelea IP addresss?? WtF's IP address??
Nikitumia Computer yako nikaandika ninachotaka kwa hiyo wewe ukamatwe??
Dogo, hacking's something else.
Kama wewe ni hacker unaweza kupita ktk kila security guard za kila programme axcept US embassy, hebu tupe siri za waisrael ktk hii dunia.
Unakuja kutuambia Adili, who's Adili??
Sasa Ben mumemuita wa nini?
Akili sufuri-A(0) bana.
Ben ame-copy na ku-paste eti mnamuita aeleze.
Kwahiyo hata to copy n'paste hamjui maana yake!!
Halafu ndiyo mnajiiita waongoza nchi.
KUISHI NA MJINGA NI SHIDA KUBWA SANA.
 
Hakuna MUONGO anayeweza kuwa smart muda wote zaidi ya kujidanfanya mwenyewe TU.
Mwigulu kaona Nchimbi kapigwa chini ndiyo anakuja kurukaruka hapa na Ben, wangapi wana-copy and paste kutoka site nyingine kuja jf au jf kwa jf na wewe Msomi wa Kichina Mwigulu huendi polisi??
Mtoto mdogo unakula damu za watu hakika mwisho Mabina ana nafuu.
CC😡mwigulunchemba
 
ndg wana jf salaam. Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka wazi kuwa

1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.
2) Sijapeleka lalamiko la mambo hayo polisi wala vyombo vyovyote vya dola wala vya habari
3) E mail ilibandikwa ikionesha mimi nawasiliana na Nchimbi wala sio e mail yangu wala haijawahi kuwa e mail yangu.
4) Sikuwa hata na sababu ya kuwasiliana na Mhe Nchimbi kwa E mail kwakuwa muda mwingi tuko wote bungeni, kwenye vikao vya chama na mjini.
Inawezekana ni kweli vijana hawa wameitwa polisi, basi kama ndivyo, watakuwa wameitwa kwa kutengeneza e mail kwa majina ya viongozi, kutunga ujumbe wao na kutengeneza kama vile viongozi wamewasiliana na kuusambaza kwa lengo baya la kutaka kuchafua taswira za viongozi mbele ya umma. Hii ni tabia mbaya kabisa na vijana wa aina hii ni mizigo kwa Taifa. Naunga mkono polisi wafuatilie uzushi na ujinga huo wa watu kutengeneza e mail bandia, mawasiliano feki na kusambaza kama ndio mawasiliano halali ili umma upokee matope waliopanga kupakazia viongozi. e mail yangu iko kika mahali kwenye business card zangu. Nalaani kitendo chao cha kubandika e mail batili, mawasiliano batili na kusambaza kwenye mitandao, nalaani pia kwa kutokuwa wakweli kama wameitwa kwa kuandaa e mail feki na mawasiliano feki wanakuja huku kuripoti kuwa wameingilia mawasiliano. yapi? Sio e mail yangu, wala sijawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail. E mail yangu inafanya academic issues, nawasiliana na supp wangu wa PhD na wanazuoni wengine kwa academic issues. Ben, look at you?

MAJIBU ya BEN SAANANE
Mwigulu ni lini ulikubali mabaya yote uliyofanya? Mabomu uliyotoka nayo China ulisema? Wake za watu uliotembea nao ulisema? Fedha za kupooza hiyo soo milioni kumi ulizotoa igunga ulisema? Mipango ya kuiua chadema ulisema? Nini kinakufanya uje hapa kulilia huruma ya wana jf? Unaibu wako ni cheo, ipo siku
Muda utafika utaacha, sio cheo cha milele kaka.
 
Stupid kabisa,

Tuna mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya taifa letu,na sio kuja hapa kuzungumza utumbo utumbo kama huu
 
Mwigulu Nchemba,

-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.

-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business

-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?Unasema watakua wameitwa tu kwa kutengeneza email fake za viongozi bila malalamiko?

-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi

-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.

-Nilishtuka sana waliponiuliza ulipata wapi password ya Nchimbi.Pia niwasaidie kumjua aliyeweka Jamiiforums na kwenye mitandao.Na pia lengo langu la kuanzisha thread (Ku-recreate kwa maneno yao)ni nini?

-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha

Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi

"Ben,Look at you.!"-By,Mwigulu Nchemba. (Sijui unamaanisha nini)

SMS niliyotuma ni hii

" Hon'ble Nchimbi,

Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.

Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane

CC:Mwigulu '"

Proactive Ben

katika watanzania woooooote walio JF wewe ndio ulikuwa na gat ya kumuuliza Nchimbi au mwigulu?? kwanza number zao ulipata wapi na kwa nini uwe nazo...( majasusi)

Pili unasema uliulizwa na polisi umeingilia mawasiliano?? hivi umesoma mpaka darasa la ngapi??

hauoni unaweza kuulizwa silly and stupid question ku validate unayoyawaza??

hivi kwa nini vijana wa aina yako hawana uwezo wa kufikiri nje ya box??

umeulizwa investigative questions, bila hiyana umekuja kusema ulichoulizwa, wenzako wanampata mtu hapo, you might be the one

kubali kuwa umekuwa mjinga kwa kivuli cha uanamapinduzi, umeingia kwenye mitego ya polisi kwa akili zako ndogo



WW ULIZUSHA, ULIPANGA, ULIANDIKA, UMEONEKANA NA KAJITETEE HUKO, ACHA PUBLIC SYMPATHY

SOON TUTAKUJA SEGEREA KUKULETEA CHAKULA NA .............be careful wasi ku-lema
 
Kheeh! Leo nimegeuka kuwa mchungu kwa Serikali na CCM kwa kuwa walinisomesha nje wakaninyima nafasi ya ajira Mambo ya nje?

Sio lazima niajiriwe serikalini?Kuitumikia nchi sio lazima niajiriwe mambo ya nje.By the way,Serikali iliyonisomesha huko ilitumia kodi ya watanzania na sio kodi ya pango ya CCM iliyohodhi mali za umma.Naomba tuheshimiane na iwe mwisho kutoa kauli za kipuuzi kama hizi

Na kama mnadhani mnakomoa vijana kwa njia hii basi subirini mwisho wenu na chama chenu katika ramani ya siasa.Kitu ambacho hamtaweza kutunyang'anya ni elimu.Hamuwezi kuhujumu taaluma ambayo ipo kichwani.Mnashangaza!

wewe mganga njaa Ben Saanane; elimu usiyoitumia ina manufaa gani? ni sawa kuwa na jembe na kuliweka chini ya uvungu wa kitanda; wewe ni hasira za maisha vijana wa kitanzania tunaelewa CCM ni kitu gani na imetufanyia nini katika maisha yetu; hivi kama sio serikali ya CCM ungesoma ? unegekuwa mpiga au muedesha bodaboda; nadhani umesahau ulivyokuwa unajidi India kaa chini uyakumbuke vizuri; leo unaadhirika mjini kwasababu elimu uliyonayo haikusaidii kimaisha wala kifikra matokeo yake ni hayo ya kutumiwa na kuvuliwa kama chupi. elimu uliyo nayo mwajiri mkubwa ni serikali ya JMT na huo ndio ulikuwa mtego wako; hivi kwa akili yako kituko kama wewe uajiriwe mambo ya nje ili iweje? Endelea kutumiwa na hao mabwana zako hapo Chadema na ukweli hawakutaki ila unajipendekeza; wewe ni nyoka mwenye sumu kali ya unafiki; hivi unafikiri Mbowe na Heche hawalijui hilo??? walitaka kukutumia kumamliza Zitto kazi ilikushinda ulichobaki ni kujipendekeza humu Jamii Forum ili uonekane ni mtetezi wa Mbowe; wewe ni mganga njaaa huna lolote la kuniambia maisha mgogoro ndio maana unajikombakomba!!! sasa unatumika kutengeneza email za uongo za viongozi angalia sana utaishia pabaya hivi hizi elimu za kihindi hazikundishi madhara ya athari ya kutengeneza vitu vya uongo na kuviweka kwenye mitandao??
 
Na unaamini kwa dhati kabisa kuwa kwa maneno yako haya mnamsaidia Mwigulu katika kile anachokusudia wananchi wamuelewe..!? Dah.. hebu soma tena post yako kisha jitendee haki wewe na upeo wako ndugu.

Hapa tunamueleza ukweli huyu mganga njaa wenu Ben Saanane mzururaji hapo anayeishi kwa kulamba makalio ya wanaume wenzake!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom