Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwanasiasa mlipa kisasi hujipenyeza kwenye mwanya wa msuguano na mtu mwingine anatekeleza uharifu wake lakini kwa kuwa msuguano uliopo kwenye akili za watu muda huo ikidaiwa yule anayezozana naye ndiye kamfanyia watu huamini haraka, lakini ukichimba kwa ndani zaidi kwa kukusanya taarifa mbichi na kuzitathimini (raw data collection/information + evaluation of facts) makes the information added with fantastic value thereby known as 'intelligence'.
After weighing the substantiated facts 'intelligence analysis' as outlined below
1. The raw data of any type (information) is collected the way they are followed by
2. The collected information is added with valuable/significant recipes after verifying its credibility and source reliability qualifying to be rated 'intelligence';
3. The intelligence is analyzed by verifying the component of info, digging out the source of info, and establishing the proof of its existence and credibility
 
Kwahiyo unaamini Mwigulu ndio alimpoteza huyu bwana mdogo??
 
Kwahiyo unaamini Mwigulu ndio alimpoteza huyu bwana mdogo??
Mwigulu muda wote anavaa bendera ya Tanzania, this is good pia ni ishara ya tahadhari

why Mwigulu anaogopwa hata na akina Kikwete na kundi lao, that guy seems to more than what we see him, kwenye maisha yako ogopa mtu asiyeongea, what special mwigulu has, hadi kimfanye awe waziri mwandamizi?
 
Upo sahihi.
 
Hili swali ghafla leo limenirudia tena.
What is special about Mwigulu aka Savimbi?
Maana hata mpige kelele vipi atawajibu muende Burundi na huyo "mama" atajikunyata pembeni kama anasikia baridi!
Ila zamani JF kulikuwa na mijadala safi, no matusi wala kejeli.
 
Walichofanya hawa vijana ni kutupa jiwe gizani bahati mbaya limemgonga mpita njia…let’s continues! 🧐
 
🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…