Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Mwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Have a nice dreamsMwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Ktk watu nimewachoka mungu anisamehe ni huyu dk wa Bujumbura naimani shida zote TZ zinaanzia kwakeMwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Endelea kuota Mimi nadhani kati ya watu wenye uhakika 100% kuwepo hapo ni yeyeMwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Mwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Corr...have a nice dream....not dreamsHave a nice dreams
ID inafichwa kivipi mkuu.. kwamba haiwez kuonekana humu..?Wenzio wanaotoa tip za ukweli hata ID zao huwa zinafichwa,wewe umeachia ID yako wazi wazi itakuwa ni wishful thinking tu.
Na ndio ipo hivyo.Endelea kuota Mimi nadhani kati ya watu wenye uhakika 100% kuwepo hapo ni yeye
huyu si anaandaliwa na CCM kuchukua mikoba 2030.Mwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Kuna yule aliyesema Mikutano ya siasa itarudishwa na Mkurugenzi wa usalama wa taifa ataondolewa,na kweli hayo mambo yamekuja kutokea. ID yake ina jina tu,huwezi kuona last seen,tarehe ya kujiunga,conversation zake za nyuma wala nini.ID inafichwa kivipi mkuu.. kwamba haiwez kuonekana humu..?
Haa, kwani huyo Mama Vs Mwigulu nani mzigo?Mwigulu soon ataondoka hapo alipo na mwingine atachukua nafasi. Ni mzigo sana
Imana ishimweCorr...have a nice dream....not dreams