Mkuu, hakuna anayepinga kutoa kodi ila kiwango kilichowekwa ni kikubwa mno.
Hiyo ni kwa mujibu wa Sheria ya Fedha (Finance Act) na sio kwa mujibu wa Kanuni husika ambazo zimesainiwa na Dr. Mwigulu!..tozo za miamala zimetokana na mapendekezo ktk bajeti iliyowasilishwa na SERIKALI.
..lawama ya kwanza inapaswa kuwa kwa Serikali kuanzia kwa Waziri wa fedha, Raisi, na Cabinet.
..Suala hili ni lazima lilianza wizara ya fedha, likapelekwa kwenye cabinet ambayo mwenyekiti wake ni RAIS.
..Baada ya hapo ndio limepelekwa bungeni na Waziri wa Fedha.
..BUNGE lingeweza kuzuia jambo hilo lakini wabunge wa CCM wanamuogopa MWENYEKITI wao ambaye ni AMIRI JESHI MKUU.
Mpuuzi sana wewe. Hujui hatua za utengenezaji bajeti.So kuanza kuwahusisha wabunge sijui na Mheshimiwa Rais ni unafiki mkubwa
Nikiona tu mtu anaanza matusi ninamfananisha na pro M/zake!Mpuuzi sana wewe. Hujui hatua za utengenezaji bajeti.
Aisee! Kweli kweli kuna marehemu wanaotembea na hawajui kama wao ni marehemu..Hata Mbowe akilaumiwa kwenye suala la tozo ni sawa tu...
Hata mie ninaunga mkono ni sawa tu - Mbowe anahusika na tozo!Aisee! Kweli kweli kuna marehemu wanaotembea na hawajui kama wao ni marehemu..
Acha upumbavu wako hapa.Hata mie ninaunga mkono ni sawa tu - Mbowe anahusika na tozo!
Mkuu nieleweshe hapa, wizara ya fedha anayoiongoza mh Mwigulu ni ya Muungano au Tanganyika? Nilikuwa nawaza ile kauli yake ya kuwataka Watanzania kwenda Burundi kuwa kwa nini isiwe Zanzibar? Kule pana waizara ya pesa vilevile na labda hii tozo haipo huko!Hiyo ni kwa mujibu wa Sheria ya Fedha (Finance Act) na sio kwa mujibu wa Kanuni husika ambazo zimesainiwa na Dr. Mwigulu!
Zanzibar inawahusu pia!Mkuu nieleweshe hapa, wizara ya fedha anayoiongoza mh Mwigulu ni ya Muungano au Tanganyika? Nilikuwa nawaza ile kauli yake ya kuwataka Watanzania kwenda Burundi kuwa kwa nini isiwe Zanzibar? Kule pana waizara ya pesa vilevile na labda hii tozo haipo huko!
Kama inawahusu ina maana gani kuwa na mawaziri wawili katika nchi moja?Zanzibar inawahusu pia!
Eti?Kama inawahusu ina maana gani kuwa na mawaziri wawili katika nchi moja?
Aliyeleta tozo ni JPM mama kaikuta tu.Huu ndio ukweli,raisi kafanya porojo tu.Hawezi tengua maamuzi ya bunge
Habari ndo hiyo mkuu.Eti?