Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
Leo mkijifanya mnasherehekea kwa mbwembwe na ukwasi mkubwa kumbukumbu ya mashujaa, nimekaa hapa na askari mstaafu wa JWTZ aliyeishia cheo cha Staff Sargent na alikatikia mguu akiwa vitani Uganda 1979 na mzee huyu analipwa pension na Hazina shs 100,000/ kwa mwezi.
Hawa ndio wastaafu ambao baada ya Mwigulu kubanwa Bungeni alikiri kuwa kweli pension ya laki moja ni aibu kuwalipa na hiyo laki iliwekwa wakati wa Kikwete na ameunda tume kuangalia uwezekano lazima ipande walao ilingane na Zanzibar.
Leo wazee wamelipwa tena katika siku yao ya mashujaa lakini kumbe ni UONGO MTUPU. Ajabu ni kuwa hata Rais Samia sio kuwa hajui hayo, anajua ila naye anayadharau kuwa watafanya nini hawa wazee?
Mnasahau hadhi na heshima iliyopo sasa ni zao la hawa wastaafu sio wanajeshi tuu bali wote waliotumia ujana wao kuitumikia nchi na kuilinda. mwigulu Nchemba nakuambia ulichofanya kuwadanganya hawa wazee HAKIKA KITARUDI KWAKO SOON.
Wazee wanaolipwa na Hazina directly kwanza wamebaki wangapi? Wako wachache sana walio hai hadi sasa na uwezo wa kuhamia Burundi hawana kama upendavyo wewe na kiburi chako.
Hawa ndio wastaafu ambao baada ya Mwigulu kubanwa Bungeni alikiri kuwa kweli pension ya laki moja ni aibu kuwalipa na hiyo laki iliwekwa wakati wa Kikwete na ameunda tume kuangalia uwezekano lazima ipande walao ilingane na Zanzibar.
Leo wazee wamelipwa tena katika siku yao ya mashujaa lakini kumbe ni UONGO MTUPU. Ajabu ni kuwa hata Rais Samia sio kuwa hajui hayo, anajua ila naye anayadharau kuwa watafanya nini hawa wazee?
Mnasahau hadhi na heshima iliyopo sasa ni zao la hawa wastaafu sio wanajeshi tuu bali wote waliotumia ujana wao kuitumikia nchi na kuilinda. mwigulu Nchemba nakuambia ulichofanya kuwadanganya hawa wazee HAKIKA KITARUDI KWAKO SOON.
Wazee wanaolipwa na Hazina directly kwanza wamebaki wangapi? Wako wachache sana walio hai hadi sasa na uwezo wa kuhamia Burundi hawana kama upendavyo wewe na kiburi chako.